Je ni sheria ya nchi mfanyakzi kukatwa BIMA ya afya bila kuwa mwanachama wa BIMA hiyo?
Kuna jambo ambalo linanisumbua kichwani kuhusu kujiunga na matibabu ya BIMA ya afya.
Nauliza jamani ni lazima kujiunga nayo? Je nikiamua kutibiwa
kwa hela yangu hospitali nayotaka mimi na familia yangu itakuwaje?
Je ni halali kukatwa BIMA ya afya bila kuwa mwanachama? Kwa nini wanakata kila mwisho wa mwezi bila ridhaa ya mtu?
Mimi silielewi hili jambo.
Mwenye maelekezo atuelemishe tafadhali.
Kuna jambo ambalo linanisumbua kichwani kuhusu kujiunga na matibabu ya BIMA ya afya.
Nauliza jamani ni lazima kujiunga nayo? Je nikiamua kutibiwa
kwa hela yangu hospitali nayotaka mimi na familia yangu itakuwaje?
Je ni halali kukatwa BIMA ya afya bila kuwa mwanachama? Kwa nini wanakata kila mwisho wa mwezi bila ridhaa ya mtu?
Mimi silielewi hili jambo.
Mwenye maelekezo atuelemishe tafadhali.