Je, ni taswira gani ujengeka kichwani mwako linapotajwa jina la mwanamke wa JF?

Sina afya hii mkuu britanicca. nili fanya diet nikapungua sana sasa tatizo ile minofu ya kwenye kifuani nayo imekwenda [emoji23]
Mimi natamani sana siku moja nikuone,

Nafikiri utakuwa na umri kama mzazi au dada yangu wa kwanza.
 
Mkuu vipi bado una taswira iyoiyo kwenye namba 5?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…