#COVID19 Je, ni upepo tu au itakuwa upepo baada ya upepo?

#COVID19 Je, ni upepo tu au itakuwa upepo baada ya upepo?

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Eneo lote huku ukanda wa pwani, ni karibu kila familia inauguza, kama sio kila mtu kuugua Mafia iliyochanganyika na homa, kchwa, kiuno n.k

Kila mtu ukimsalimu anasema anajisikia homa, sijui kichwa, sijui mwili umechoka n.k

Kwanza kabisa nadecrea interest kuwa, Mimi si mwanasayansi na sjasomea chochote kuhusu elimu ya viumbe na magonjwa,

Ila kama binadamu wa kawaida na mwenye kufikiri mambo na kuchanganua, kwa kiasi chake naweza

Na ieleweke kuwa, chochote kilichozaliwa na kikawa kitu Halisi kilianzia kwenye wazo, wazo ambalo iwe alilitoa mtu wa chini mno na asiye na elimu, lakini likachukuliwa, likaboreshwa na kisha kikawa kitu dhahiri

Angalia uumbaji wa Mungu, ni ulianzia kwenye wazo, alipokuwa akimuumba mwanadamu, aliwaza na kisha akamuumba, Na kiuhalisia, kama mtu huna wazo, huwezi kuzalisha chochote

Nirudi kwenye hoja!

Dunia inakabiriwa na milipuko ya magonjwa mengi hasa hili la Corona!

Tunaambiwa na wataalaamu kuwa, kwa sasa dunia IPO kwenye wimbi la NNE tangu kirusi wa kwanza kuonekana, na amekuwa ajibadirisha badirisha kila iitwapo Leo

Kiasi kwamba, hata wanasayansi kitengo cha utafiti Tiba na chanjo wanahaha kuwa inakuwaje kila tukiandaa sampuli ya chanjo kwa ajili ya corona jina fulani, Mara wadudu wanabadirika na wao pengine kuhitaji chanjo yake?? Naiona ilivyongumu kazi ya wataalaamu wa mabaabala

Nikufikirishe mwana Jf, lakini pia hii inaweza kutumika kwa Wataalam wetu na wapenda nchi yetu kiengo cha utafiti wa magonjwa,

Mashaka yangu yapo hapa!

Leo hii ukitaka kulima kilimo cha mbogamboga na matunda, kuna wadudu ambao huzaliwa mle, utaenda nunua dawa ya mdudu yule, lakini baada ya siku mbili tatu, utakutana tena na mdudu wa aina nyingine tena, utanunua dawa na utamwangamiza, vilevile atazaliwa mdudu mwingine wa aina tofauti tena, hii maana take nini,

Maswali ya kujiuliza, Je, hao wadudu huwa wanatoka wapi kila unapobadirisha dawa na wanazaliwa wengine wapya na ni aina nyingine

Inamaana zile dawa ndizo huwenda zinavinasaba za wadudu hao kwa kila aina ya dawa tunazotumia?

Kama ndani ya zile dawa hakuna wadudu, huzaliana kutoka wapi?


Wanasayansi na wataalamu wetu, mtwambie, ni lini mnafanya utafiti wa kina kuhusu hayo? Au sayansi ya mzungu ndio tunayoitumia na kuiamini pasipo kujiridhisha kutokana na madawa yao?

Okay, wacha nije hapa!

Mashaka yangu hayo iwapo yanachembechembe yenye harufu ya ukweli, Unadhani, Sayansi ya watu weupe haiwezi kufanya hayahaya kwa binadamu?

Je, hizi chanjo tuna zochoma, hazizalishi wadudu wengine wapya?

Mbona imekuwa mkipona wimbi la kwanza linakuja lingine na halimwachi salama na aliye chanjwa!

Je, kunautafiti wowote mpya kwa kila wimbi la gonjwa hili linapokuja linaanza na mtu Nani na hatimaye kusambaa nchi nzima?

Je, ni aliyechanjwa, ama yule ambaye hakuchanjwa?

Na Je, ni kweli halitokani na kuzaliana tuu ndani ya miili yetu tuliochanja hizi chanjo

Nawaza kwa ajili ya nchi yangu, Taifa langu, Tanzania yangu, kizazi changu, watanzania wenzangu!


Mungu, ibariki Tanzania, Mungu, bariki Africa, Mungu bariki viongozi wetu!
 
Lakini Tanzania hakuna wimbi la nne la corona, ukanda wa Pwani wanaumwa mafua ya kawaida "Seasonal Flu" iliyosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa🐒
 
Maswali mazuri.
Kifupi mbegu na dawa tutumiazo mashambani ndio chanzo cha magonjwa na wadudu katika mimea yetu.
Kwa upande wa covid-19 mambo huenda ni yale yale ili biashara iendelee.
Swali juu ya swali: Kwa nini habari za milipuko zaidi ya covid-19 haitajwi China tena?
 
Haukumsikia ZzK juzi hapo
Msimamo maalum wa Wizara ya Afya kuhusu kinachoendelea ni huu
269162427_623070498933166_246085226804823663_n.jpg

269751080_934855543812503_7898958924340473956_n.jpg
 
Eneo lote huku ukanda wa pwani, ni karibu kila familia inauguza, kama sio kila mtu kuugua Mafia iliyochanganyika na homa, kchwa, kiuno n.k

Kila mtu ukimsalimu anasema anajisikia homa, sijui kichwa, sijui mwili umechoka n.k

Kwanza kabisa nadecrea interest kuwa, Mimi si mwanasayansi na sjasomea chochote kuhusu elimu ya viumbe na magonjwa,

Ila kama binadamu wa kawaida na mwenye kufikiri mambo na kuchanganua, kwa kiasi chake naweza

Na ieleweke kuwa, chochote kilichozaliwa na kikawa kitu Halisi kilianzia kwenye wazo, wazo ambalo iwe alilitoa mtu wa chini mno na asiye na elimu, lakini likachukuliwa, likaboreshwa na kisha kikawa kitu dhahiri

Angalia uumbaji wa Mungu, ni ulianzia kwenye wazo, alipokuwa akimuumba mwanadamu, aliwaza na kisha akamuumba, Na kiuhalisia, kama mtu huna wazo, huwezi kuzalisha chochote

Nirudi kwenye hoja!

Dunia inakabiriwa na milipuko ya magonjwa mengi hasa hili la Corona!

Tunaambiwa na wataalaamu kuwa, kwa sasa dunia IPO kwenye wimbi la NNE tangu kirusi wa kwanza kuonekana, na amekuwa ajibadirisha badirisha kila iitwapo Leo

Kiasi kwamba, hata wanasayansi kitengo cha utafiti Tiba na chanjo wanahaha kuwa inakuwaje kila tukiandaa sampuli ya chanjo kwa ajili ya corona jina fulani, Mara wadudu wanabadirika na wao pengine kuhitaji chanjo yake?? Naiona ilivyongumu kazi ya wataalaamu wa mabaabala

Nikufikirishe mwana Jf, lakini pia hii inaweza kutumika kwa Wataalam wetu na wapenda nchi yetu kiengo cha utafiti wa magonjwa,

Mashaka yangu yapo hapa!

Leo hii ukitaka kulima kilimo cha mbogamboga na matunda, kuna wadudu ambao huzaliwa mle, utaenda nunua dawa ya mdudu yule, lakini baada ya siku mbili tatu, utakutana tena na mdudu wa aina nyingine tena, utanunua dawa na utamwangamiza, vilevile atazaliwa mdudu mwingine wa aina tofauti tena, hii maana take nini,

Maswali ya kujiuliza, Je, hao wadudu huwa wanatoka wapi kila unapobadirisha dawa na wanazaliwa wengine wapya na ni aina nyingine

Inamaana zile dawa ndizo huwenda zinavinasaba za wadudu hao kwa kila aina ya dawa tunazotumia?

Kama ndani ya zile dawa hakuna wadudu, huzaliana kutoka wapi?


Wanasayansi na wataalamu wetu, mtwambie, ni lini mnafanya utafiti wa kina kuhusu hayo? Au sayansi ya mzungu ndio tunayoitumia na kuiamini pasipo kujiridhisha kutokana na madawa yao?

Okay, wacha nije hapa!

Mashaka yangu hayo iwapo yanachembechembe yenye harufu ya ukweli, Unadhani, Sayansi ya watu weupe haiwezi kufanya hayahaya kwa binadamu?

Je, hizi chanjo tuna zochoma, hazizalishi wadudu wengine wapya?

Mbona imekuwa mkipona wimbi la kwanza linakuja lingine na halimwachi salama na aliye chanjwa!

Je, kunautafiti wowote mpya kwa kila wimbi la gonjwa hili linapokuja linaanza na mtu Nani na hatimaye kusambaa nchi nzima?

Je, ni aliyechanjwa, ama yule ambaye hakuchanjwa?

Na Je, ni kweli halitokani na kuzaliana tuu ndani ya miili yetu tuliochanja hizi chanjo

Nawaza kwa ajili ya nchi yangu, Taifa langu, Tanzania yangu, kizazi changu, watanzania wenzangu!


Mungu, ibariki Tanzania, Mungu, bariki Africa, Mungu bariki viongozi wetu!
Hivi wale wainjilisti wa Kimarekani waliokuja na utumishi wa "Imani, Upendo & Miujiza" na kufanya mikutano mingi kwa pamoja, miongoni mwao hakukuwa na "cabal" wenye kubeba ajenda za siri?

Baada ya kutuletea imani na kutuonyesha upendo, pengine sasa wametuachia miujiza ya "seasonal influenza" [emoji3549][emoji878] Tafadhali ni utani tu, unaweza kuupuuzia.
 
Hivi wale wainjilisti wa Kimarekani waliokuja na utumishi wa "Imani, Upendo & Miujiza" na kufanya mikutano mingi kwa pamoja, miongoni mwao hakukuwa na "cabal" wenye kubeba ajenda za siri?

Baada ya kutuletea imani na kutuonyesha upendo, pengine sasa wametuachia miujiza ya "seasonal influenza" [emoji3549][emoji878] Tafadhali ni utani tu, unaweza kuupuuzia.
Kwa sababu tunafikiri tuu, pengine isiwe ama ikawa!
 
Unajua neno ku "declare interest" linatumika pale ambapo mtoa mada anahusika/anafaidika kwa namna moja au nyingine?

Sasa unazungumzia ishu ya afya halafu sio mdau wa afya sasa unadeclareje interest ??[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]


Anyaways tunajifunza
 
Eneo lote huku ukanda wa pwani, ni karibu kila familia inauguza, kama sio kila mtu kuugua Mafia iliyochanganyika na homa, kchwa, kiuno n.k

Kila mtu ukimsalimu anasema anajisikia homa, sijui kichwa, sijui mwili umechoka n.k

Kwanza kabisa nadecrea interest kuwa, Mimi si mwanasayansi na sjasomea chochote kuhusu elimu ya viumbe na magonjwa,

Ila kama binadamu wa kawaida na mwenye kufikiri mambo na kuchanganua, kwa kiasi chake naweza

Na ieleweke kuwa, chochote kilichozaliwa na kikawa kitu Halisi kilianzia kwenye wazo, wazo ambalo iwe alilitoa mtu wa chini mno na asiye na elimu, lakini likachukuliwa, likaboreshwa na kisha kikawa kitu dhahiri

Angalia uumbaji wa Mungu, ni ulianzia kwenye wazo, alipokuwa akimuumba mwanadamu, aliwaza na kisha akamuumba, Na kiuhalisia, kama mtu huna wazo, huwezi kuzalisha chochote

Nirudi kwenye hoja!

Dunia inakabiriwa na milipuko ya magonjwa mengi hasa hili la Corona!

Tunaambiwa na wataalaamu kuwa, kwa sasa dunia IPO kwenye wimbi la NNE tangu kirusi wa kwanza kuonekana, na amekuwa ajibadirisha badirisha kila iitwapo Leo

Kiasi kwamba, hata wanasayansi kitengo cha utafiti Tiba na chanjo wanahaha kuwa inakuwaje kila tukiandaa sampuli ya chanjo kwa ajili ya corona jina fulani, Mara wadudu wanabadirika na wao pengine kuhitaji chanjo yake?? Naiona ilivyongumu kazi ya wataalaamu wa mabaabala

Nikufikirishe mwana Jf, lakini pia hii inaweza kutumika kwa Wataalam wetu na wapenda nchi yetu kiengo cha utafiti wa magonjwa,

Mashaka yangu yapo hapa!

Leo hii ukitaka kulima kilimo cha mbogamboga na matunda, kuna wadudu ambao huzaliwa mle, utaenda nunua dawa ya mdudu yule, lakini baada ya siku mbili tatu, utakutana tena na mdudu wa aina nyingine tena, utanunua dawa na utamwangamiza, vilevile atazaliwa mdudu mwingine wa aina tofauti tena, hii maana take nini,

Maswali ya kujiuliza, Je, hao wadudu huwa wanatoka wapi kila unapobadirisha dawa na wanazaliwa wengine wapya na ni aina nyingine

Inamaana zile dawa ndizo huwenda zinavinasaba za wadudu hao kwa kila aina ya dawa tunazotumia?

Kama ndani ya zile dawa hakuna wadudu, huzaliana kutoka wapi?


Wanasayansi na wataalamu wetu, mtwambie, ni lini mnafanya utafiti wa kina kuhusu hayo? Au sayansi ya mzungu ndio tunayoitumia na kuiamini pasipo kujiridhisha kutokana na madawa yao?

Okay, wacha nije hapa!

Mashaka yangu hayo iwapo yanachembechembe yenye harufu ya ukweli, Unadhani, Sayansi ya watu weupe haiwezi kufanya hayahaya kwa binadamu?

Je, hizi chanjo tuna zochoma, hazizalishi wadudu wengine wapya?

Mbona imekuwa mkipona wimbi la kwanza linakuja lingine na halimwachi salama na aliye chanjwa!

Je, kunautafiti wowote mpya kwa kila wimbi la gonjwa hili linapokuja linaanza na mtu Nani na hatimaye kusambaa nchi nzima?

Je, ni aliyechanjwa, ama yule ambaye hakuchanjwa?

Na Je, ni kweli halitokani na kuzaliana tuu ndani ya miili yetu tuliochanja hizi chanjo

Nawaza kwa ajili ya nchi yangu, Taifa langu, Tanzania yangu, kizazi changu, watanzania wenzangu!


Mungu, ibariki Tanzania, Mungu, bariki Africa, Mungu bariki viongozi wetu!

IMG_20211212_191326.jpg
 
Back
Top Bottom