Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Hivi mfano mtu anakupa namba yake ya simu lakini ukimtumia meseji ajibu wala simu ukimpigia apokei, acheni basi tabia hizo mnauzi sana,pia haihusu mapenzi au mahusiano wala sio ya kutongozana na biashara tu au maisha mengine.