Je, ni utamaduni mzuri kuficha ugonjwa wa kiongozi kitaifa halafu kifo kitangazwe?

Paf

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
1,703
Reaction score
3,307
Enzi Mwl Nyerere haikuwa siri kwa kiongozi kama anaumwa hadi utawala wa JK. Nani kaanzisha utamaduni wakuficha mtu akiwa na dhamana ya kitaifa.

Je, ni utamaduni mzuri kuficha ugonjwa halafu kifo kitangazwe?
 
Acha waendelee kufanya mambo kimyakimya
 
Enzi Mwl Nyerere haikuwa siri kwa kiongozi kama anaumwa hadi utawala wa JK. Nani kaanzisha utamaduni wakuficha mtu akiwa na dhamana ya kitaifa.

Je ni utamaduni mzuri kuficha ugonjwa halafu kifo kitangazwe?
Wezi wengi huwa wanapenda kufichaficha mambo yao hata ya kawaida tu ambayo hata yakijulikana hakuna tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…