bablon6 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 630 Reaction score 566 May 17, 2018 #1 Mimi mkristo ila nafunga sasa kwenye pita pita nikaona bango linasema "Kufunga bila kuswali ni sawa na kuweka simu chaji bila betri" Sasa ndo nauliza Je? Fungo yangu inahesabika au najishindisha na njaa [emoji17][emoji17]
Mimi mkristo ila nafunga sasa kwenye pita pita nikaona bango linasema "Kufunga bila kuswali ni sawa na kuweka simu chaji bila betri" Sasa ndo nauliza Je? Fungo yangu inahesabika au najishindisha na njaa [emoji17][emoji17]
Capitano JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 1,959 Reaction score 1,633 May 17, 2018 #2 Malipo ya kufunga ni ya yeye mwenyewe na anajua yeye mweneyewe
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,440 Reaction score 32,260 May 17, 2018 #3 Tunashuriwa kuswali kila sala sio usubilie mfungo wa ramadhani ndo uanze kuswali kwa kuwa unafunga.
Rohombaya JF-Expert Member Joined Jul 4, 2011 Posts 13,067 Reaction score 10,393 May 17, 2018 #4 Dah....wenyewe wanasema kufungà ni SIRI..... Kati ya mfungaji na Mungu wake.....asikubabaishe MTU... 😕 😎
Dah....wenyewe wanasema kufungà ni SIRI..... Kati ya mfungaji na Mungu wake.....asikubabaishe MTU... 😕 😎
Ochumeraa JF-Expert Member Joined May 18, 2015 Posts 4,505 Reaction score 5,715 May 17, 2018 #5 Funga ni nguzo ya uislam,na kuswali ni nguzo pia kwahiyo kusema kwamba ukifunga bila kuswali fungal yako haikubaliwi si kweli,funga itakubaliwa Ila kwenye upande Wa swala utakuwa na gape
Funga ni nguzo ya uislam,na kuswali ni nguzo pia kwahiyo kusema kwamba ukifunga bila kuswali fungal yako haikubaliwi si kweli,funga itakubaliwa Ila kwenye upande Wa swala utakuwa na gape