Je, ni vitabu gani vya utundu wa mapenzi umesoma vimekusaidia mpaka leo?

Eagle J

Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
27
Reaction score
51
Katika kupitia uzi pendwa mzee Jason Bourne na Mkuu Kiga wametuonesha kuwa kusoma vitabu vilisaidia wao kujua jinsi ya kupata nywila za wenzi/wapenzi wao.

Wanadau naombeni vitabu mlivyosoma ili tusaidiane kwenye libeneke, maana sio wote wameenda jando
 
Nakumbuka enzi hizo kuna Joseph Shaluwa, Mustafa Waziri na vile vijarida vyao [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
 
1.Kamasutra.
2. pefumed garden by cheikf Nafzaoui.
3.Anangaranga


QUOTE me at your own risk.😂😂😂😂
 
Kuna kitab kinaitwa HOW TO https://jamii.app/JFUserGuide A WOMAN..Ni Cha ki**ge Sana, wala sikukipenda

Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
 
Hivi bado wanaandika hayo makitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…