Je ni viumbe kutoka sayari ya mbali ndiyo waliyo jenga Pyramid. PART 1

Je ni viumbe kutoka sayari ya mbali ndiyo waliyo jenga Pyramid. PART 1

Dunia yakoo

Senior Member
Joined
Nov 23, 2019
Posts
139
Reaction score
214
Egypt kuna maandishi mengi kuhusu piramidi kubwa la Gaza tutafute kama tutapata chochote kitu kuhusu kazi hizi za maajabu halafu tutarudi Peru kwenye haya mapiramidi matatu kabla hatujatoka nje ya dunia na kuitembelea sayari ya Mars ambako nako eti kuna Piramidi.

Je ni viumbe kutoka sayari ya mbali ndiyo waliyo jenga Pyramid ndani ya Mars?
Daima majengo hayo ya Gaza yamekuwa yaki washangaza wanasayansi, hasa kutokana na ukamilifu wa muundo wake ambao unathibitisha utumikaji wa elimu kubwa ya mahesabu na elimu ya maumbo.

Uyakinifu wa mahesabu yaliyotumika kusimamisha kuta za Pyramid, hata kwa theluthi ya sekunde haikubaliki kwamba, eti yalijengwa na watumwa walioshinikizwa kwa adhabu na viboko, bali ni kazi ya kitaalam ambayo taaluma yetu ya leo ya ujenzi, ikishirikiana na mahesabu, elimu ya nyota na vifaa tulivyo navyo hatujaweza kutengeneza nakala (copy) ya mfano wa jengo hilo.

Kamwe hayakujengwa kama makaburi ya Mafarao kama wanavyo tufundisha katika mitaala yao, wala hayakujengwa na Mafarao wenyewe, wala watumwa, bali ni hazina waliyo irithi, wameirithi kutoka wapi, hilo ndilo swali tunalo litafutia jibu katika mtiririko wa posti hizi. Usikose mwendelezo wake.

images (1) (2).jpg
 
Hakuna prof yoyote kwamba kuna viumbe wa ajabu katika anga za mbali - ni imagination tu.

Hayo yalijengwa na binadamu wa kale - watumwa toka nchi za mbali enzi za utawala wa mafarao huko misri.
 
E
Hakuna prof yoyote kwamba kuna viumbe wa ajabu katika anga za mbali - ni imagination tu.

Hayo yalijengwa na binadamu wa kale - watumwa toka nchi za mbali enzi za utawala wa mafarao huko misri.
ndelea kufualia makala hii
 
Kiufupi kuna siri nzito kuhusu pyramids.. Ni kama ilivyo area 51 ya Marekani.. Secrets hz wanajua viongozi wa juu wa mataifa husika.. Na siri hizi uhusishwa na alien..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
husu piramidi kubwa la Gaza tutafute kama t
Pyramids of .......Giza......stargates, siyo............. Gaza!!

Advanced ancient technology of Antlatidas- and Remulia ilitumika kujenga haya mapyramids, wakati wa Deluge yaani Gharika ya nuhu ni ma-pyramids tu ndo yalipona, na yalijengwa hapa sababu nchi ya Misri ndiyo iko katikati ya Dunia Kijiografia, kwa hiyo yale yapo katikati ya ulimwengu.

Lengo la kujenga Pyramids ilikuwa ni descending leading point ya Alfa Draconis/Orion group's ascension, from high Galaxy to the Planet Earth,
NB;
(In fact Middle East ikiwa ni pamoja na Misri, kuna Star gates kibao kuliko sehemu yeyote ile Duniani. Ki- Historia na Ki-Biblia, ni hapa ndiyo Mungu alipokuwa akishukia ktk Eden, na
zile Seven Races of God, zilishukia hapa, Abraham kumchinja Isack, mwanawe ni hapa!)

These pyramids was More particularly leading them to the World's most vital Places like Mt. Sinai and sacred point, at Mt. Moriah- in Jerusalem. Mt, of ascension.

Tena mahali hapa ni muhimu sababu ya Shadow Government's Beam waves ya NWO tangia Zamani zile mpaka leo, inalindwa na well trained full combatant soldiers commonly known as ''Black Dude'' hakuna mtu kukatiza hapa zaidi ya wanyama na ndege tu!

Kuna viumbe-watu, (wajenga pyramids) wao wanaamini wao ndo wenyeji wa Dunia hii kabla ya mwanadamu kuumbwa, na wanaumilki na Sayari nyingine pia, but mwanadamu ni mbishi.hataki kujua hivo!

Baadaye ntakueleza kwa nini watu wengi wanaamini ni watumwa walijenga!!
 
Gaza ama Giza? Kama Gaza siyo Misri
Egypt kuna maandishi mengi kuhusu piramidi kubwa la Gaza tutafute kama tutapata chochote kitu kuhusu kazi hizi za maajabu halafu tutarudi Peru kwenye haya mapiramidi matatu kabla hatujatoka nje ya dunia na kuitembelea sayari ya Mars ambako nako eti kuna Piramidi.

Je ni viumbe kutoka sayari ya mbali ndiyo waliyo jenga Pyramid ndani ya Mars?
Daima majengo hayo ya Gaza yamekuwa yaki washangaza wanasayansi, hasa kutokana na ukamilifu wa muundo wake ambao unathibitisha utumikaji wa elimu kubwa ya mahesabu na elimu ya maumbo.

Uyakinifu wa mahesabu yaliyotumika kusimamisha kuta za Pyramid, hata kwa theluthi ya sekunde haikubaliki kwamba, eti yalijengwa na watumwa walioshinikizwa kwa adhabu na viboko, bali ni kazi ya kitaalam ambayo taaluma yetu ya leo ya ujenzi, ikishirikiana na mahesabu, elimu ya nyota na vifaa tulivyo navyo hatujaweza kutengeneza nakala (copy) ya mfano wa jengo hilo.

Kamwe hayakujengwa kama makaburi ya Mafarao kama wanavyo tufundisha katika mitaala yao, wala hayakujengwa na Mafarao wenyewe, wala watumwa, bali ni hazina waliyo irithi, wameirithi kutoka wapi, hilo ndilo swali tunalo litafutia jibu katika mtiririko wa posti hizi. Usikose mwendelezo wake.

View attachment 1293674

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna prof yoyote kwamba kuna viumbe wa ajabu katika anga za mbali - ni imagination tu.

Hayo yalijengwa na binadamu wa kale - watumwa toka nchi za mbali enzi za utawala wa mafarao huko misri.
Endelea kufuatilia makala
 
Egypt kuna maandishi mengi kuhusu piramidi kubwa la Gaza tutafute kama tutapata chochote kitu kuhusu kazi hizi za maajabu halafu tutarudi Peru kwenye haya mapiramidi matatu kabla hatujatoka nje ya dunia na kuitembelea sayari ya Mars ambako nako eti kuna Piramidi.

Je ni viumbe kutoka sayari ya mbali ndiyo waliyo jenga Pyramid ndani ya Mars?
Daima majengo hayo ya Gaza yamekuwa yaki washangaza wanasayansi, hasa kutokana na ukamilifu wa muundo wake ambao unathibitisha utumikaji wa elimu kubwa ya mahesabu na elimu ya maumbo.

Uyakinifu wa mahesabu yaliyotumika kusimamisha kuta za Pyramid, hata kwa theluthi ya sekunde haikubaliki kwamba, eti yalijengwa na watumwa walioshinikizwa kwa adhabu na viboko, bali ni kazi ya kitaalam ambayo taaluma yetu ya leo ya ujenzi, ikishirikiana na mahesabu, elimu ya nyota na vifaa tulivyo navyo hatujaweza kutengeneza nakala (copy) ya mfano wa jengo hilo.

Kamwe hayakujengwa kama makaburi ya Mafarao kama wanavyo tufundisha katika mitaala yao, wala hayakujengwa na Mafarao wenyewe, wala watumwa, bali ni hazina waliyo irithi, wameirithi kutoka wapi, hilo ndilo swali tunalo litafutia jibu katika mtiririko wa posti hizi. Usikose mwendelezo wake.

View attachment 1293674
Mzee baba huu uzi wako naona umekufa cha mende

"Ruzige"
 
Pyramids of .......Giza......stargates, siyo............. Gaza!!

Advanced ancient technology of Antlatidas- and Remulia ilitumika kujenga haya mapyramids, wakati wa Deluge yaani Gharika ya nuhu ni ma-pyramids tu ndo yalipona, na yalijengwa hapa sababu nchi ya Misri ndiyo iko katikati ya Dunia Kijiografia, kwa hiyo yale yapo katikati ya ulimwengu.

Lengo la kujenga Pyramids ilikuwa ni descending leading point ya Alfa Draconis/Orion group's ascension, from high Galaxy to the Planet Earth,
NB;
(In fact Middle East ikiwa ni pamoja na Misri, kuna Star gates kibao kuliko sehemu yeyote ile Duniani. Ki- Historia na Ki-Biblia, ni hapa ndiyo Mungu alipokuwa akishukia ktk Eden, na
zile Seven Races of God, zilishukia hapa, Abraham kumchinja Isack, mwanawe ni hapa!)

These pyramids was More particularly leading them to the World's most vital Places like Mt. Sinai and sacred point, at Mt. Moriah- in Jerusalem. Mt, of ascension.

Tena mahali hapa ni muhimu sababu ya Shadow Government's Beam waves ya NWO tangia Zamani zile mpaka leo, inalindwa na well trained full combatant soldiers commonly known as ''Black Dude'' hakuna mtu kukatiza hapa zaidi ya wanyama na ndege tu!

Kuna viumbe-watu, (wajenga pyramids) wao wanaamini wao ndo wenyeji wa Dunia hii kabla ya mwanadamu kuumbwa, na wanaumilki na Sayari nyingine pia, but mwanadamu ni mbishi.hataki kujua hivo!

Baadaye ntakueleza kwa nini watu wengi wanaamini ni watumwa walijenga!!


nikutumia bando LA mtandao gani.!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom