Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
ndo nn?No bueno!
Ni afya zaidi afya tupu lakini usinywe haya ya kuku wa 'kizungu'Habari Wadau!
Kama title inavyojieleza hapo Je MTU anaweza kunywa yai bichi au ni lazima likaangwe ili kupata virutubisho vyote vilivyopo ndani?
namainisha kuku wa kienyeji , orgnalMayai ya kuku wa "kidhungu"
asante mkuuNi afya zaidi afya tupu lakini usinywe haya ya kuku wa 'kizungu'
Afya gani? lina faida gani?Ni afya zaidi afya tupu lakini usinywe haya ya kuku wa 'kizungu'
Ha ha ha sasa ndiyo dawa hiyo, penye tiba usivikilie mengine, kata punzi kunywa. Mbona watu wanakunywa ile nanihii ya bina damu, bila kujali na binadamu haliwi, itashindika yai la kuku anaeliwa ha ha ha.Shombo la yai mmmh
Ile haina shombo sana, mmh mie yai bichi hapana siwezi kujaribuHa ha ha sasa ndiyo dawa hiyo, penye tiba usivikilie mengine, kata punzi kunywa. Mbona watu wanakunywa ile nanihii ya bina damu, bila kujali na binadamu haliwi, itashindika yai la kuku anaeliwa ha ha ha.
Halishindi la naniliu [emoji23] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Shombo la yai mmmh
ila kuku tahira wakukaanga mtamuunamainisha kuku wa kienyeji , orgnal
yani we mshana siku hizi mbona umebadirikaHalishindi la naniliu [emoji23] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
enheee hebu tuambie we uliona wapi?Ha ha ha sasa ndiyo dawa hiyo, penye tiba usivikilie mengine, kata punzi kunywa. Mbona watu wanakunywa ile nanihii ya bina damu, bila kujali na binadamu haliwi, itashindika yai la kuku anaeliwa ha ha ha.
[emoji22] [emoji15] [emoji3] si bure naona kuna mkono wa mtuyani we mshana siku hizi mbona umebadirika
We we weeee la samaki au?Halishindi la naniliu [emoji23] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kamongoWe we weeee la samaki au?