Kibiashara ina make sense. Ingawa quality ya vyakula vyetu inakuwa compromised. Ebu tujaribu kudescribe baadhi ya matunda yetu kwa sasa, kwa kuanzia tu
:
1) Nanasi: Ili la kisasa ni kubwa balaa kama mpira, ila ukilikata unakutana na maji tupu, ule utamu wa nanasi umepotea kabisa, hakuna sukali unakula kama makapi. Likikaa siku mbili limeoza. Fikilia uliponunua nanasi hili Chalinze lilikuwaje
2) Tikiti maji: Yaani ili ndilo balaa, ukiondoa rangi nyekundu iliyoboreshwa , utatamani ulitupe, kwanza ni raini kupindukia, limajaa maji yasiyo na utama labda ule kama dawa. Halafu ukishalikata tu, tegemea kesho limeshaanza kuoza hata likiwa kwenye fridge.
3) Embe: Ohoooo, god forbid, kwa kweli naanza kuyakumbuka maembe mango, kisukari n.k. Haya ya sasa unaweza kula kama anayekula ugali, ule utamu unaoambata na ukakasi na uchungu hakuna tena, embe ni kubwa jinga, mengine utafikri unakula papai, kwa kweli ni hatari tupu
4) Mapapai: Haya ya sasa sio mapapai kabisa, mimi nakumbuka papai lilikuwa gumu, lenye utamu wa sukali, sasa mapapai yamekuwa lojolojo, papai ngozi yake ngumu ila ndani limeshameguka na kuwa lojolojo, ukimenya ngozi ngumu ila nyama ya ndani inapukutika, basi ok, liwe tamu basi, hakuna kitu ,ni kama kula makapi
Jamani, ningependa kuuliza tu, hivi Serikali haina role ya kulinda vyakula vyetu vya asili, kwa mwendo huu watoto na wajukuu wetu hawatakuja kujua the real taste ya vyakula hivi. Mimi sitaongelea kabisa kuhusu nutrition content na level ya hivi vyakula vilivyorutubishwa kwani naona mabadiliko ya ajabu ya vijana wetu kimwili, kiakili na kiafya yanaweza kuwa yamesababishwa na hivi vyakula. Je ni mamlaka gani ina kazi ya kulinda vyakula vyetu hivi kwa maslahi makubwa ya Taifa.
:
1) Nanasi: Ili la kisasa ni kubwa balaa kama mpira, ila ukilikata unakutana na maji tupu, ule utamu wa nanasi umepotea kabisa, hakuna sukali unakula kama makapi. Likikaa siku mbili limeoza. Fikilia uliponunua nanasi hili Chalinze lilikuwaje
2) Tikiti maji: Yaani ili ndilo balaa, ukiondoa rangi nyekundu iliyoboreshwa , utatamani ulitupe, kwanza ni raini kupindukia, limajaa maji yasiyo na utama labda ule kama dawa. Halafu ukishalikata tu, tegemea kesho limeshaanza kuoza hata likiwa kwenye fridge.
3) Embe: Ohoooo, god forbid, kwa kweli naanza kuyakumbuka maembe mango, kisukari n.k. Haya ya sasa unaweza kula kama anayekula ugali, ule utamu unaoambata na ukakasi na uchungu hakuna tena, embe ni kubwa jinga, mengine utafikri unakula papai, kwa kweli ni hatari tupu
4) Mapapai: Haya ya sasa sio mapapai kabisa, mimi nakumbuka papai lilikuwa gumu, lenye utamu wa sukali, sasa mapapai yamekuwa lojolojo, papai ngozi yake ngumu ila ndani limeshameguka na kuwa lojolojo, ukimenya ngozi ngumu ila nyama ya ndani inapukutika, basi ok, liwe tamu basi, hakuna kitu ,ni kama kula makapi
Jamani, ningependa kuuliza tu, hivi Serikali haina role ya kulinda vyakula vyetu vya asili, kwa mwendo huu watoto na wajukuu wetu hawatakuja kujua the real taste ya vyakula hivi. Mimi sitaongelea kabisa kuhusu nutrition content na level ya hivi vyakula vilivyorutubishwa kwani naona mabadiliko ya ajabu ya vijana wetu kimwili, kiakili na kiafya yanaweza kuwa yamesababishwa na hivi vyakula. Je ni mamlaka gani ina kazi ya kulinda vyakula vyetu hivi kwa maslahi makubwa ya Taifa.