Je ni wakat gani haswa wa mimba kutungwa

Mwitakesowani

Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
94
Reaction score
29
Nilikutana na mpenz Wang cku za hatar. Awal alidai anackia dalili za mimba tulivopima hakukutwa nayo. Baadae mpenz Wang akanambie alinunua flag il akanywa masaa saba baada ya ten do kwa lengo LA kuzuia mimba kutungwa... kwa kwel ckumwelewa maana cjui kama flag il zina mahusiano na mimba. Wadau nauliza katika hil kuna ukwel?
 
NI bora ujue zambi ya kuuwa kiumbe kwanza
 



Lengo la kufanya mapenzi na mpenzio tarehe za hatari lilikua ni nini???
 
jaman mi swali langu ni sababu gani inayofanya kupitiliza hedhi kwa mwanamke kama hana mimba kipi kingine kinasababisha?plz msaada wenu
 
jaman mi swali langu ni sababu gani inayofanya kupitiliza hedhi kwa mwanamke kama hana mimba kipi kingine kinasababisha?plz msaada wenu

Stress,mabadiliko ya hali ya hewa/mwili,mazingira n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…