Fundi wa kuwanyoosha MAKOLO kama vile Dobi anyooshavyo nguoPacome ni fundi wa Nini ?
Mpira unahitaji nguvu na Akili vyote, ndio maana wachezaji wanaingia Gym kutengeneza misuli ya miguuni, mikono n.k hata hao Wajapanwachezaji wote uliotaja walizisaidia Nin timu zao za Taifa kwenye kombe la Duniani toka kombe la Dunia lianze bara Afrika limetoa Timu Mara moja tu kwenda semi final tena ni juzi tu 2022 na Unataka mpira wa Nguvu kwenye karne hii huoni kama ni ujinga wa kiwango cha mwisho unakumbuka mechi ya Japan na Senegal kwenye kombe la Dunia mwaka 2018 kama hukutazama Nenda katazame Ndio utajua kwanin Nguvu na ukubwa wa mwili sio kujaua mpira Ndugu zako walingia na Mtindo wakutumia Nguvu ila kilichowakuta wao Ndio wakaishia kudharilishwa tu Na urefu wao.
Kina Jay jay okocha ,Rashid Yekin,Mimboe,J Song'oo, Rigobet song ,Taribo west nk unawaweka wapi wale?Mtanielewa sasa kwanini nlikuja na hii posti kwa hivi vituko vya wenyeji Ivory Coast wachezaji hawana munkari wanacheza kilegevu mno haya wametolewa kesho wapande ndege warudi Ulaya wanakolipwa mabilioni hovyo kabisa.
Nliona mbali kwa Uzi huu wenyewe mmesikia Etoo kasema nini juu ya wachezaji wa Cameroon wanaocheza Ulaya na waliozaliwa Ulaya.
Wachezaji wanatufanyia ukatili sana tunakosa Mpira mtamu wa Kiafrika kwa kukosa Uzalendo wanalipwa pesa nyingi wanakula bata na wazungu mwisho wa siku zikiisha wanarudi kuwalilia Waafrika wenzao.
Ukowapi ule Mpira wa kina Julius Aghahowa, Victor Ikpepa, Emanuel Amunike, Patrick Mboma, Mido, jamba, Kali, Siyabonga Nomvete, Sibusiso Zuma et al jamaa walikua wanatupa ladha ya Mpira wa kiafrika.
Mchezaji mwenye uchungu angalau ni Victor Osmimeh wa Nigeria.
Ivory Coast wale bakora kwanza kabla ya kurudi Ulaya.
Ile ilikuwa na watu wa kazi kina Rigobert Song,Songoo,toure etcMpira unahitaji nguvu na Akili vyote, ndio maana wachezaji wanaingia Gym kutengeneza misuli ya miguuni, mikono n.k hata hao Wajapan
Basically, Akili, Nguvu, Mbinu na Passion / Wining Spirit ndio vinaleta Ushindi Uwanjani.....
Pia kila eneo lina asili na aina yake ya kucheza mpira......
Mathalan Waholanzi wana aina yao ya kucheza wanaita (Totaal Voetball) kama wachezavyo Barcelona
Germans wao ni watu wa Counter attack pamoja na Italy
Asians wana styles zao originally
So jamaa yupo sahihi...cameroon ya mwaka 2000 mpaka 2007 sio hii ya sasa
I hope umeshacheza mpira
Kuna chezaji moja la Nigeria limefake majeraha huku amefika Spain kachezea timu yake. Tumeuza uzalendo wetu