Je, ni wakati sasa na sisi tupewe nafasi ya kumchagua Rais wa Marekani?

Je, ni wakati sasa na sisi tupewe nafasi ya kumchagua Rais wa Marekani?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wakuu

Sisi wote ni mashahidi jinsi ujio wa trump ulivyoleta hekaheka nyingi kuanzia huko marekani kwenyewe, ulaya bara hindi na hata huku kwenye nchi zetu hizi weusi.

Hadi sasa hajamaliza hata miezi miwili toka aanze kazi lakini ni kama ameshakaa miaka.

Vilio vimekuwa vingi kutoka pembe zote duniani kuanzia Dar es salaam hadi Riyadh, Asmara hadi Nouakchott, kutoka Kuala Lumpur hadi visiwa vya Andaman, Johannesburg hadi Monaco, Seoul hadi Atlanta, Kathmandu hadi Sofia, Caracas hadi Tokyo. Orodha hii inaweza isiwe na mwisho.

Kifupi, karibia dunia nzima mabara yote yameathirika kwa namna fulani na ujio wa trump.

Sasa kama dunia nzima inaweza kuathiriwa kwa ukubwa kiasi hiki na ujio wa mtu mmoja tu, kwanini huyu raisi wa marekani asichaguliwe na dunia nzima tukiwemo sisi akina pangu pakavu?

Ndio, nasisi tuulizwe mnamuonaje mtu huyu? nasisi tuseme huyo 👍 au 👎.

Maana mwisho wa siku wote tunaathiriwa na maamuzi ya mtu huyu mmoja anayekaa hapo.

eti wakuu wangu au nyie mnasemaje wakuu?
 
Ili mumchague kamala
Screenshot_20250208-211131~2.jpg

mimi ntaenda na Donald
 
Wanaomshangaa trump wa leo ndio walikua wapiga kampeni wake humu jukwaani. Ajabu kawageuka hawaelewi nini kinaendelea
 
Yuko anapigania maslahi ya watu wake wa USA, hivyo waambieni na nyie Viongozi wenu wapiganie maslahi ya watu wao
 
Wakuu

Sisi wote ni mashahidi jinsi ujio wa trump ulivyoleta hekaheka nyingi kuanzia huko marekani kwenyewe, ulaya bara hindi na hata huku kwenye nchi zetu hizi weusi.

Hadi sasa hajamaliza hata miezi miwili toka aanze kazi lakini ni kama ameshakaa miaka.

Vilio vimekuwa vingi kutoka pembe zote duniani kuanzia Dar es salaam hadi Riyadh, Asmara hadi Nouakchott, kutoka Kuala Lumpur hadi visiwa vya Andaman, Johannesburg hadi Monaco, Seoul hadi Atlanta, Kathmandu hadi Sofia, Caracas hadi Tokyo. Orodha hii inaweza isiwe na mwisho.

Kifupi, karibia dunia nzima mabara yote yameathirika kwa namna fulani na ujio wa trump.

Sasa kama dunia nzima inaweza kuathiriwa kwa ukubwa kiasi hiki na ujio wa mtu mmoja tu, kwanini huyu raisi wa marekani asichaguliwe na dunia nzima tukiwemo sisi akina pangu pakavu?

Ndio, nasisi tuulizwe mnamuonaje mtu huyu? nasisi tuseme huyo 👍 au 👎.

Maana mwisho wa siku wote tunaathiriwa na maamuzi ya mtu huyu mmoja anayekaa hapo.

eti wakuu wangu au nyie mnasemaje wakuu?
For sure
 
Back
Top Bottom