Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Habarini wana JF, nimekuwa nikiwaza sana mahali gani nitasoma Programming hasa;
Webdesing, Android, IOS, Mac, Windows, App development, Game na mambo ya Software.
Ni muda gani nitatumia mpaka course kukamilika na ni wapi na kama ikiwezekana nijue na ada.
Nawasilisha.
Webdesing, Android, IOS, Mac, Windows, App development, Game na mambo ya Software.
Ni muda gani nitatumia mpaka course kukamilika na ni wapi na kama ikiwezekana nijue na ada.
Nawasilisha.