maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
Kuna watu walikua maarafu sana kwenye fani zao ila kuna matendo waliyafanya ya kizembe sana au ya kijinga mno ambayo yameharibu maisha yao au umaarufu wao, Tafadhali mtaje jina na uelezee alipobugi.
Mimi Naanza na Shkuba,
Shkuba alikua maarufu na mwenye hela nyingi mno,alishaondoka bongo na kuhamia afrika ya kusini na huku biashara zake zikienda vyema pia alishaonywa asirudi tena bongo,haikujulikana ni homesick au nn? Ila shkuba akarudi,na siku anaondoka kurudi south, alishushwa kwenye ndege maana alishaboard,mpaka leo shkuba imebaki hadithi tu yanayompata hayahadithiki,laiti kama hakujiamini sana akarudi.
Mimi Naanza na Shkuba,
Shkuba alikua maarufu na mwenye hela nyingi mno,alishaondoka bongo na kuhamia afrika ya kusini na huku biashara zake zikienda vyema pia alishaonywa asirudi tena bongo,haikujulikana ni homesick au nn? Ila shkuba akarudi,na siku anaondoka kurudi south, alishushwa kwenye ndege maana alishaboard,mpaka leo shkuba imebaki hadithi tu yanayompata hayahadithiki,laiti kama hakujiamini sana akarudi.