Je, ni watu Gani Maarufu walioharibu fani zao au Maisha yao kwasababu Ya uzembe

Soka...Haruna Moshi Bobani,bahati aliyoipata hataipata yena na ataikumbuka maisha yake yote.
 
Kitwanga sababu ya gambe.
hahaha, kitwanga, mzee wa bapa kule kibangu, Mungu anawajua walio wake, na wale wasio wake hata wakijifanya huwa anawaengua na wanaishia aibu. huwezi kuigiza mambo ya Kimungu.pamoja na kwamba ameuaibisha ukristo na walokole sana, lakini Muumba kaamua magugu yakae pembeni kwasababu ameyachoka.kukusanya kundi la watu wanaoamini wanaenda mbinguni kumbe wanateremka jehanum kuna faida gani?bora kiongozi wao awekwe peupe tu kwa faida ya wengine waliotaka kumfuata.
 
Kitwanga ni tofauti na Lusekelo Mkuu.
 
Baba Jesca. Huyu jamaa anakurupuka Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…