Pung'o boy
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 685
- 305
Dah acha tu kaka naweza kumfananisha uchezaji wake kama kina modric hiv, ozil alikua ni attacking midfielder mzurii sanaa, kama unakumbuka ile game tz ba burkina faso kipnd cha maximo alipga mpira mkubwaa sanaaa utasema hachezi vodacom premier league ila uzembe wakee na nidhamu mbovu imeharibu maisha yakeee yoteeKaka acha tu, Boban nilimuona akiwa na Moro United, aiseeee, acha kabisa. Na baadae akahamia SIMBA, aisee! Kile kiwango ungeweza kukataa kama ni Mtanzania.
Boban aliujua Mpira. Mpira ukamjua Boban. Mpira ukawa unamtii Boban kwa kila alichotaka kufanya!Dah acha tu kaka naweza kumfananisha uchezaji wake kama kina modric hiv, ozil alikua ni attacking midfielder mzurii sanaa, kama unakumbuka ile game tz ba burkina faso kipnd cha maximo alipga mpira mkubwaa sanaaa utasema hachezi vodacom premier league ila uzembe wakee na nidhamu mbovu imeharibu maisha yakeee yotee
huwez kuwa mzima lazima upo nusunusuFaru John aliendekeza ngono kule kwenye hifadhi mwisho akatoweka kama Ben Sanane maana hata kaburi lake hakuna ...
Dah!!!Nimechanganya mada kumbe hapa ni watu waliokuwa maarufu mimi naleta habari za mnyama tena.
Ngoja niitafute then nitarudi tena.
Hakuna alichokuwa anajua zaidi ya kuvuta bange.Mbona hammtaji Ramadhan Chombo,redondo au Athman Iddy Chuji?Boban aliujua Mpira. Mpira ukamjua Boban. Mpira ukawa unamtii Boban kwa kila alichotaka kufanya!
Hao umewataja wewe inatosha!Hakuna alichokuwa anajua zaidi ya kuvuta bange.Mbona hammtaji Ramadhan Chombo,redondo au Athman Iddy Chuji?
Mkùu kwani unaishi wapi? Maana nimeielezea nikiacha details maana watu wengi wanaifahamu..
Uliza ulizaMimi
Mimi pia siifahamu
Sawa lakini kwani alikulazimisha ubaki Tanzania?Julius Kambalage Nyerere uyu babu amenikera sana alivyotutoa mikononi mwa wazungu
yapi yamempata?Kuna watu walikua maarafu sana kwenye fani zao ila kuna matendo waliyafanya ya kizembe sana au ya kijinga mno ambayo yameharibu maisha yao au umaarufu wao, Tafadhali mtaje jina na uelezee alipobugi.
Mimi Naanza na Shkuba,
Shkuba alikua maarufu na mwenye hela nyingi mno,alishaondoka bongo na kuhamia afrika ya kusini na huku biashara zake zikienda vyema pia alishaonywa asirudi tena bongo,haikujulikana ni homesick au nn? Ila shkuba akarudi,na siku anaondoka kurudi south, alishushwa kwenye ndege maana alishaboard,mpaka leo shkuba imebaki hadithi tu yanayompata hayahadithiki,laiti kama hakujiamini sana akarudi.