Je, ni zipi changamoto zinazowakumba wakulima wa Greenhouse? Eleza changamoto yako hapa upate suluhisho

Je, ni zipi changamoto zinazowakumba wakulima wa Greenhouse? Eleza changamoto yako hapa upate suluhisho

Lasway.Jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
233
Reaction score
413
Kwa muda mrefu tumekuwa tukishughudia wakulima wengi wa greenhouse wakipata hasara au kutokupata mavuno bora kama walivyotegemea, kuendelea kutumia madawa ya kuuwa wadudu kwa kiasi kikubwa kama wanalima nje, joto kuwa kali ndani ya banda na kuharibu mazao, yaani wengi wamekata tamaa na kuzitelekeza greenhouse zao huko mashambani.

Lakini pia wapo wakulima wengine wamenufaika na wanaendelea kunufaika na teknolojia ya greenhouse walianza na chache ila kutokana na faida zake kila mwaka wanaongeza mabanda mengine na hata wengine wameacha kazi zao nyingine wanafanya kilimo tu na maisha yao safi sana.

Sasa hapa tufahamishane. Wale wanaopata hasara waeleze changamoto zao wasaidike na wale wanaopata faida basi waeleze mbinu zao kidogo hapa watu tupate elimu na maarifa zaidi.
 
Kwa muda mrefu tumekuwa tukishughudia wakulima wengi wa greenhouse wakipata hasara au kutokupata mavuno bora kama walivyotegemea, kuendelea kutumia madawa ya kuuwa wadudu kwa kiasi kikubwa kama wanalima nje, joto kuwa kali ndani ya banda na kuharibu mazao, yaani wengi wamekata tamaa na kuzitelekeza greenhouse zao huko mashambani.

Lakini pia wapo wakulima wengine wamenufaika na wanaendelea kunufaika na teknolojia ya greenhouse walianza na chache ila kutokana na faida zake kila mwaka wanaongeza mabanda mengine na hata wengine wameacha kazi zao nyingine wanafanya kilimo tu na maisha yao safi sana.

Sasa hapa tufahamishane. Wale wanaopata hasara waeleze changamoto zao wasaidike na wale wanaopata faida basi waeleze mbinu zao kidogo hapa watu tupate elimu na maarifa zaidi.
Kwanza jinasibishe upande uliopo wewe
 
Mkuu Greenhouse haifai kuweka kila mahali. Tatizo ni kuwa tuna dharau sana wataalamu na tunaona tunajua kila kitu na wakati mwingine wakulima wameshauriwa kuweka greenhouse isivyofaa ili watu wapate chochote maisha yaende. Kuna vitu vingi sana vya kuzingatia ambavyo wakulima hawavitilii maanani ikiwa ni pamoja na mafunzo. Wanakuja kushtuka tayari washapata hasara ya mamillioni
 
Kwa muda mrefu tumekuwa tukishughudia wakulima wengi wa greenhouse wakipata hasara au kutokupata mavuno bora kama walivyotegemea, kuendelea kutumia madawa ya kuuwa wadudu kwa kiasi kikubwa kama wanalima nje, joto kuwa kali ndani ya banda na kuharibu mazao, yaani wengi wamekata tamaa na kuzitelekeza greenhouse zao huko mashambani.

Lakini pia wapo wakulima wengine wamenufaika na wanaendelea kunufaika na teknolojia ya greenhouse walianza na chache ila kutokana na faida zake kila mwaka wanaongeza mabanda mengine na hata wengine wameacha kazi zao nyingine wanafanya kilimo tu na maisha yao safi sana.

Sasa hapa tufahamishane. Wale wanaopata hasara waeleze changamoto zao wasaidike na wale wanaopata faida basi waeleze mbinu zao kidogo hapa watu tupate elimu na maarifa zaidi.
mimi nataka kuingia kwenye hicho kilimo cha greenhouse niko Kimara Dar es Salaam. Plot yangu ni 20m x 30m, nataka kuanza na gh ndogo nilime nyanya za masika. Naomba msaada wa bei ya kuijenga na mengineyo.
 
Back
Top Bottom