Je, nia ya kumpa support Kiba ni kumshusha Diamond

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Hivi kuna uwezekano wanaompa support Ali Kiba wanataka kumshusha Diamond?, Kwenye hizi team nimeona sana team kiba wanafatilia sana habari na maisha ya Diamond, Kuna uwezekano mkubwa sana labda hawa baadhi ya team kiba walikuwa wanamkubali sana Diamond ila alivyoanza kupata mafanikio makubwa walichukia sana na hivyo wakaona watumie karata ya Ali Kiba ili wajaribu kumshusha Diamond,

JE KUNA UWEZEKANO WA KUWEPO HILI JAMBO
 
Hakuna dhambi kubwa ya kimafanikio kama kumtaja kiba kwenye thread moja na DIAMOND PLATINUMZ.Tumechoka mwacheni huyo Babu wa kariakoo asimame peke ake na sio kutumia jina la mwingine.
[HASHTAG]#NiacheKidogo[/HASHTAG]
 
Walio wengi kwenye hizo Tim ni malofa ila wanashadadia maendeleo ya wenzao. Na huo ugomvi hauwezi isha kwa sababu wanao gombaniwa wanafaidika kupitia ugomvi huo.pambaneni na halizenu wandugu
 
Mbona mnalia lia namna hii....Ile Seduce me iliwafanya kitu kibaya sana
 
Ngoja kesho ntaanzisha Uzi kumhusu best naso
 
JAMAA AFIKA GUEST NA DEM MKALI KUMBE SIO DEM NI NJEMBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…