ABUBAKARY Barnabas
Member
- Nov 14, 2023
- 71
- 53
ALiyekosea ni wewe au wao? AU ulibadili jina?Nisaidieni nikubwa na hili tatizo la majina katika helb View attachment 3056641
Yaani unaomba mkopo alafu unaweka passport size umecheka...haupo serious wwNisaidieni nikubwa na hili tatizo la majina katika helb View attachment 3056641
Naunga mkono hoja hapa mods wafute ili kumsaidia kijanaEPUKA kushare taarifa zako nyeti Mitandaoni...!
Nilitaka kucomment kuhusu utoaji was taarifa zako muhimu mtandaoni kwa kuhoji utashi wako juu ya hili,lakini baada ya Kuona Mwaka wako wa kuzaliwa ni 2002 nimeona siyo busara kufanya hivyo kwani bado hujafikia kujipambanua.Nisaidieni nikubwa na hili tatizo la majina katika helb View attachment 3056641
Hapana sikubadili ila ni mkanganyiko wa wazazi katika kuandikisha shule na cheti cha kuzaliwaALiyekosea ni wewe au wao? AU ulibadili jina?
AsanteNilitaka kucomment kuhusu utoaji was taarifa zako muhimu mtandaoni kwa kuhoji utashi wako juu ya hill,lakini baada ya Kuona Mwaka wako wa kuzaliwa ni 2002 nimeona siyo busara kufanya hivyo kwani bado hujafikia kujipambanua.
Turudi katika ushauri;
Aliyekosea majina siyo HESLB ni wewe mwenyewe na Benji yako,kwani HESLB unatumia namba yako ya NIDA basi moja kwa moja mfumo wao unaupload data kutoka NIDA.
Hivyo unachotakiwa kufanya ni kwenda kwa Wakili kuandaliwa DEED POLL ambayo ukishakamilisha mchakato wake itabidi uende katika Benki ambayo ulifungua akaunti yako Ili waweze kubadilisha majina yako yaweze kufanana na yaliyo katika mfumo wa NIDA na baada ya halo utarudi katika Mfumo wa HESLB kufanya editing/update taarifa zako Kama kuna Options hizo,Kama hakuna itabidi uwasiliane nao kwa taratibu zaidi.
Wakati Mwingine jitahidi kuwa making Sana katika Uandishi wa Majina yako.
Kila LA kheri na pole kwa changamoto.
Hili tatizo ni kati ya cheti cha kuzaliwa na vyeti vya elimuNilitaka kucomment kuhusu utoaji was taarifa zako muhimu mtandaoni kwa kuhoji utashi wako juu ya hill,lakini baada ya Kuona Mwaka wako wa kuzaliwa ni 2002 nimeona siyo busara kufanya hivyo kwani bado hujafikia kujipambanua.
Turudi katika ushauri;
Aliyekosea majina siyo HESLB ni wewe mwenyewe na Benji yako,kwani HESLB unatumia namba yako ya NIDA basi moja kwa moja mfumo wao unaupload data kutoka NIDA.
Hivyo unachotakiwa kufanya ni kwenda kwa Wakili kuandaliwa DEED POLL ambayo ukishakamilisha mchakato wake itabidi uende katika Benki ambayo ulifungua akaunti yako Ili waweze kubadilisha majina yako yaweze kufanana na yaliyo katika mfumo wa NIDA na baada ya halo utarudi katika Mfumo wa HESLB kufanya editing/update taarifa zako Kama kuna Options hizo,Kama hakuna itabidi uwasiliane nao kwa taratibu zaidi.
Wakati Mwingine jitahidi kuwa making Sana katika Uandishi wa Majina yako.
Kila LA kheri na pole kwa changamoto.
Naunga mkono hoja hapa mods wafute ili kumsaidia kijana
Nafikiri unaweza kuedit post take kwa kuedit baadhi ya Vitu katika screenshot aliyotuma au akiweza anaweza andika maelezo ya tatizo lake pasipo kushare detailed personal information Kama alivyofanya hata pasipo involvement ya ModsNisaidieni nikubwa na hili tatizo la majina katika helb View attachment 3056641
Hili tatizo ni kati ya cheti cha kuzaliwa na vyeti vya elimu
Msamehe bure,he is too youngYaani unaomba mkopo alafu unaweka passport size umecheka...haupo serious ww
Naunga mkono hojaNaunga mkono hoja hapa mods wafute ili kumsaidia kijana
Naunga mkono hojaEPUKA kushare taarifa zako nyeti Mitandaoni...!
Mkuu Usitake Kuniambia kwamba Umemtukana Bila Kumtajia Tusi π π πNilitaka kucomment kuhusu utoaji was taarifa zako muhimu mtandaoni kwa kuhoji utashi wako juu ya hill,lakini baada ya Kuona Mwaka wako wa kuzaliwa ni 2002 nimeona siyo busara kufanya hivyo kwani bado hujafikia kujipambanua.
Kwan Kuna njia nyingine ya kufungua account ya benk maana kadi yaa kupigia kura sina na mbaka daftari rifike dar muda au Kuna njia nyingineMkuu Usitake Kuniambia kwamba Umemtukana Bila Kumtajia Tusi [emoji28][emoji28][emoji28]
Utukanaji uliotumia Ni wa level ya PhD..
You are telling Someone Stupid Without telling him That he is!..Polite Insults..
Thats Good motive [emoji28][emoji28]
Ok kwa Ushauri wangu..
Kwa haraka haraka Naona Shida kubwa Ipo kwenye Account ya Benki so Sio mbaya unaweza ukaenda Ukabadili taarifa za Account ya Benki au Ukafungua Account nyingine..ili taarifa zioane..
Labda kama Utuambia Taarifa zipi zinakuwa Tofauti na taarifa zipi
Kadi ya Nida UnayoKwan Kuna njia nyingine ya kufungua account ya benk maana kadi yaa kupigia kura sina na mbaka daftari rifike dar muda au Kuna njia nyingine