mkwezi kidonda
Senior Member
- Mar 20, 2014
- 163
- 32
Wana jf ,husika na elezo hapo juu, nina kampuni yangu ya ltd. Ila eneo la ofisi na workshop havipo eneo moja. Sasa ninataka eneo la workshop lisajiliwe kama sehemu ya kazi je nifuate utaratibu gani? Ama ili kukidhi matakwa natakiwa pawe na vigezo gani? Naombeni ushauri wenu.