Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Tumsifu Yesu Kristo wapendwa
Leo hii tuna vuguvugu la uekumene, kutafuta umoja ambao Yesu kabla mateso, kifo na ufufuko wake aliuombea (soma Yohane 17). Kuna mambo mengi tunayoshirikiana na makanisa mengi, na mwanzoni mwa mwaka uwa tuna juma la sala kwa ajili ya umoja wa Makanisa, kilele chake huwa Januari 25, sherehe ya Kuongoka kwa Mt. Paulo Mtume.
Tahadhari tu ni kwamba, Makanisa yaliyojitenga na Kanisa Katoliki, maana yake kuna vitu wameviacha, vingine wamevigeuka na hata kuyaongeza mengine yasiyopaswa kuwepo. Kwa kuwa hawana adhimisho la Misa, heri tu ujisalie mwenyewe. Hatari ni kwamba waweza kwenda kusali huko wakakuambukiza ukengeufu wao.
Leo hii tuna vuguvugu la uekumene, kutafuta umoja ambao Yesu kabla mateso, kifo na ufufuko wake aliuombea (soma Yohane 17). Kuna mambo mengi tunayoshirikiana na makanisa mengi, na mwanzoni mwa mwaka uwa tuna juma la sala kwa ajili ya umoja wa Makanisa, kilele chake huwa Januari 25, sherehe ya Kuongoka kwa Mt. Paulo Mtume.
Tahadhari tu ni kwamba, Makanisa yaliyojitenga na Kanisa Katoliki, maana yake kuna vitu wameviacha, vingine wamevigeuka na hata kuyaongeza mengine yasiyopaswa kuwepo. Kwa kuwa hawana adhimisho la Misa, heri tu ujisalie mwenyewe. Hatari ni kwamba waweza kwenda kusali huko wakakuambukiza ukengeufu wao.