Vf-successfully
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 253
- 166
Wakuu Habari Zenu,
Naomba kufahamishwa niko nje ya nchi na ninataka kufungua bank account kwenye Benki ya Standard ambapo benki hii iko pia Tanzania.
Ninachotaka kujua, Je kama nikirudi Tanzania nitapata huduma za kibenki kama mteja wa Standard niwapo Tanzania maana wasiwasi ni kuwa nimefungulia huku.
Naomba kufahamishwa niko nje ya nchi na ninataka kufungua bank account kwenye Benki ya Standard ambapo benki hii iko pia Tanzania.
Ninachotaka kujua, Je kama nikirudi Tanzania nitapata huduma za kibenki kama mteja wa Standard niwapo Tanzania maana wasiwasi ni kuwa nimefungulia huku.