Vf-successfully
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 253
- 166
Tembelea tawi lolote la bank hiyo huko nchini Bahamas au Tanzania upewe maelezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je nikitaka ku deposit na kupata bank statement hapa tz itawezekana?Branch ilioko Tz na branch ya nchi hio ni tofauti ingawaje bank ni moja, ukitaka kutoa hela Tz unaweza kutoa ila watakukata kiwango flan huko tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sijafungua ila ndo na mlango wakufungua waswas kuwa wanaweza kuniambia itawezekana kwa lengo la wao kupata client ndo maana niko JF kupata ushauri kwanzaMaelezo mazuri unaweza yapata hapo ulipopata huduma ya kufungua akaunti.
... hela ya kufungulia acc na min. balance kwenye acc must be equivalent to "hela ya mboga" ya yule forofesa $$$1.4 m.
Aaah sawa mkuu. Ngoja waje wajuziBado sijafungua ila ndo na mlango wakufungua waswas kuwa wanaweza kuniambia itawezekana kwa lengo la wao kupata client ndo maana niko JF kupata ushauri kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
... katika wale waliofaidika na mgao wa escrow kuna mmoja alisema alichogawiwa ilikuwa hela ya mboga tu! Mabenki ya fukweni kama huko Bahamas ni maeneo tulivu kwa mafisadi kuficha hela zao ndio maana nikasema account zao mpunga sio wa kitoto equivalent to yule profesa wa "hela ya mboga".
... katika wale waliofaidika na mgao wa escrow kuna mmoja alisema alichogawiwa ilikuwa hela ya mboga tu! Mabenki ya fukweni kama huko Bahamas ni maeneo tulivu kwa mafisadi kuficha hela zao ndio maana nikasema account zao mpunga sio wa kitoto equivalent to yule profesa wa "hela ya mboga".
... ndio hivyo ujipange Mkuu.
Je nikitaka ku deposit na kupata bank statement hapa tz itawezekana?
Sent using Jamii Forums mobile app