Mimi ninafanya biashara ya m pesa na jamaa yangu fulani, ktk hiyo kaz till zote za kufanyia kaz ni zangu.Tumefanya hii kaz takribani mwaka mmoja na mtendaji wa kaz ni mimi muda wote,ilitokea sikumoja nikajikuta nina loss nilmweleza mwenzangu japo baadae alinielewa tukaendelea na kaz.Lakni mimi naona sipati faida kwa hii kaz japo faida inaingia,baadae nikaambiwa na kaka yangu kwamba tukafanye kaz sehemu nyingine sasa ndo nauliza nitoke kimyakimya au?