Je nikikana uraia wa Tanzania na kupewa uraia wa nchi nyengine mali zangu zitataifishwa?

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
5,214
Reaction score
10,276
Habari zenu wataalam,

Tunafahamu Serikali ya jamhuli ya muungano wa Tanzania haitambui uraia pacha.

Kwa kesi ya namna hii mali za raia aliebadili uraia mali zake utafishwa.

Naomba wabobezi wa sheria watufahamishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…