Sa 7 mchana JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 5,214 Reaction score 10,276 Feb 28, 2025 #1 Habari zenu wataalam, Tunafahamu Serikali ya jamhuli ya muungano wa Tanzania haitambui uraia pacha. Kwa kesi ya namna hii mali za raia aliebadili uraia mali zake utafishwa. Naomba wabobezi wa sheria watufahamishe.
Habari zenu wataalam, Tunafahamu Serikali ya jamhuli ya muungano wa Tanzania haitambui uraia pacha. Kwa kesi ya namna hii mali za raia aliebadili uraia mali zake utafishwa. Naomba wabobezi wa sheria watufahamishe.
Eli Cohen JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 4,460 Reaction score 13,715 Feb 28, 2025 #2 Unataka ukimbie mabango ya "ameupiga mwingi"😁😁
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Feb 28, 2025 #3 Ngoja waje
Dkisaka JF-Expert Member Joined Aug 5, 2018 Posts 623 Reaction score 1,809 Feb 28, 2025 #4 Kukana maana yake ni kusaliti, Msaliti Hana chake .