figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Yaani ndo Changamoto. Ila kuna jamaa kakubali kuniazima laki moja. Muhimu mpenzi wangu afurahi. Pesa kitu gani bana?Ulivotaja hiyo pesa umenikumbusha member fulani humu jina limenitoka naye ni Mzee wa kujisifu sifu sana.
Hizo pesa kwanza unazo??
Jikite kwenye mada mkuu. Naomba mawazk yako, je, hiyo Chupi itafufua mahaba?hahaahah figa nigga look like jay z i mean jiggah🤣🤣🤣
Wee jamaa wewe?mnunulie tu mkuu, kazi ya kuivua tutasaidiana.[emoji23][emoji23]
@figganigga jibu ni hili apa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnunulie tu mkuu, kazi ya kuivua tutasaidiana.[emoji23][emoji23]
mnunulie tu mkuu, kazi ya kuivua tutasaidiana.[emoji23][emoji23]
Kikombe kimenikumbusha mbali sana. Enzi za mwaarimu
Ukikishika vibaya kinaunguza hikoooKikombe kimenikumbusha mbali sana. Enzi za mwaarimu
Yaani ndo Changamoto. Ila kuna jamaa kakubali kuniazima laki moja. Muhimu mpenzi wangu afurahi. Pesa kitu gani bana?
Umemjibu vyemaYaani ndo Changamoto. Ila kuna jamaa kakubali kuniazima laki moja. Muhimu mpenzi wangu afurahi. Pesa kitu gani bana?