Je, nikimnunulia chupi ya Tsh. 232,602.50/- atazidisha mapenzi?

Hivi kidukulilo yupoo màaana ndio zake hizi[emoji23]
 
Mnunulie Tumvulishe


Over.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]alooo jf bhana
 
Ha ha kama nnaona kila akiwa na game ya maana ndiyo atakuwa anaivaa...wahuninwanaivua na meno tuu
 
Yaani ndo Changamoto. Ila kuna jamaa kakubali kuniazima laki moja. Muhimu mpenzi wangu afurahi. Pesa kitu gani bana?
Kama ni hawa wa kwa mtigole ataona unaharibu pesa kibao kitakugeukia,alafu mbona unataka kufanya vitu hauna uwezo navyo,
 
Yeye atahisi umeinunua 3000, na ukimwonyesha ushahidi atakasirika atasema ungempa hiyo pesa akuonyeshe matumizi
 
mnunulie tu mkuu, kazi ya kuivua tutasaidiana.[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23], Itabidi ujitahidi kutembea na K-Y mfukoni maana kibao kitapokugeukia tope la kwa Mpalange litachezewa balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…