Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks Bro umenielewa weweNajaribu kuelewa... Yaani una duka na ni la kwako mwenyewe lakini hauna mtaji (kwenye hilo duka la kwako mwenyewe... )
na pia kukodisha hautaki pesa ndogo (yaani ukikodisha pesa inakuwa ndogo.... ) unafanya kazi lakini huna mtaji wa kulifungua (hilo duka la kwako mwenyewe yaani... ) sasa Je ukope?
Hapana usikope kwa duka ambalo haujalifungua ingawa ni la kwako mwenyewe!