Je nikope nifungue duka?

mohd juma

New Member
Joined
Apr 27, 2016
Posts
4
Reaction score
0
Nina fremu yangu ya duka lakini sina mtaji na kukodisha sitaki kwa sababu pesa ndogo kukodisha, nafanya kazi lakini sina mtaji wa kulifunguwa.
Je Nikope?
 
Bila shaka utakuwa unamaanisha unamiliki frame ya biashara ila huna mtaji wa kuweka bidhaa, hutaki kukodisha na wewe ni muajiriwa serikalini au ktk taasisi binafsi, hivyo unataka ushauri je, uuchukue mkopo bank?

Kama ndivyo nakushauri kodisha tu hizo frame maana huna idea na biashara utaua mtaji bure bank waje wauze dhamana zako...
 
Thanks Bro umenielewa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…