Je, nilazima kuwa na banda ili kuanza ufugaji kuku?

😀😀🤣🤣. Au sijaelewa vizuri. Sasa kuku bila banda utawacontain vipi mkuu?
 
Ni muhimu Banda liwepo unawezae tengeneza Banda rahisi la miti/mabanzi/tofali/mabati/mifuko kikubwa uwakinge na maadui km baridi/wezi/wanyama wakali nk. Kila la kheri ktk Safari yako.
 
Unaweza kuanza bila banda, unaishi mseto kwenye getto moja na kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…