happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,392
Habari zenu wana JF
wakuu kuna manzi ambaye nilimtongoza zamani kidogo lakini yeye alinikataa kwa kunitolea maneno machafu mno.baada ya kusikia ana mimba na aliyempa kaikataa nikamtongoza tena na kunielewa bila shida nia yangu ikiwa ni kulipa kisasi.nna mpango wa kula "mzigo" na kuanza mbele,je ntekeleze azma yangu?au nisamehe tu?.ni hayo tu
Style yake ya kutoa maneno machafu ndo haikuwa nzuri..ila kukubaliwa na kukataliwa yote ni matokeo kwenye process nzima ya kutongoza. Accept that....Ila kisasi sikushauri!! Utajiumiza mwenyewe tu..
kisasi ruksa but c kwa mambo ka haya mkuu! Mpotezee tu huyo....Habari zenu wana JF
wakuu kuna manzi ambaye nilimtongoza zamani kidogo lakini yeye alinikataa kwa kunitolea maneno machafu mno.baada ya kusikia ana mimba na aliyempa kaikataa nikamtongoza tena na kunielewa bila shida nia yangu ikiwa ni kulipa kisasi.nna mpango wa kula "mzigo" na kuanza mbele,je ntekeleze azma yangu?au nisamehe tu?.ni hayo tu
unasumbuliwa na hangover ww, johnie mtembezi bado yupo kichwan dats y, kanywe supu urud.
ndio unamshaur nn ivo mwenzio loh.
Mawazo ya watoto haya!Ni kazi sana!
Afrodenzi there is a very thin line between love and hate. Sometimes unakuta you hate somebody because you loved him/fer but he/she did not love you back the way you wanted. Ila mkikaa na akueleze, umsamehe, then love blossoms again. Huyu kijana akae mbali na huyo dada, anaweza kwenda kwa nia ya kumkomesha but once there anajikuta kamdondokea tena and it will be very confusing for him.HIvi kweli kama mtu bado anampenda mtu
atathubutu kusema huyu kijana alichosema hapo juu??
Binafsi naona ni bora ungemuuliza kama anampenda kuliko
kusema bado anampenda.. Maana maneno aliyoyatoa hayana upendo ndani yake kwa kweli..
hahahahah ndo maana kuna mada The Boss alidrop tofauti ya mvulana na mwanaume.sasa dada asha jitahidi na wewe ulete mada inayotofautisha msichana na mwanamke.kwa sababu moyo aulazimishw kupenda sasa ni mimba inamlazmisha huyo dada kwa muda uhu kumpenda jamaa AU? Muongozo tafadhali!
once again with ths quatation ,vp umeexperience nn.Afrodenzi there is a very thin line between love and hate. Sometimes unakuta you hate somebody because you loved him/fer but he/she did not love you back the way you wanted. Ila mkikaa na akueleze, umsamehe, then love blossoms again. Huyu kijana akae mbali na huyo dada, anaweza kwenda kwa nia ya kumkomesha but once there anajikuta kamdondokea tena and it will be very confusing for him.
hebu kamata glass ya grants na ice cubes hapo!watanzania zaidi ya 1.5m wana matatizo ya akili.
Unalipa kisasi? Au unaulipisha mwili wako.
Hiyo miili ni yenu au mmeokota?
Unantia hasira za bure!
hebu kamata glass ya grants na ice cubes hapo!