Je nilipe kisasi?

Thanx wakuu wote wa JF kwa ushauri mzuri mlionipa so nimebadili mawazo na nimeamua kumsamehe ila ntaonesha upendo kwake kama dada yangu ili ailee mimba yake vizuri.bila JF sijui.........
 
once again with ths quatation ,vp umeexperience nn.
ila ni good nukuu ,i first heard kwenye series ya criminal mind,2nd tym it was u na ths z 3rd tym from u.
Ni msemo wa kawaida tu, hata mimi sijui niliutoa wapi maana uko so common (IMO).
Kujibu swali lako: mi sijawahi kumpenda mtu na nimchukie at the same time. Nikipenda, napenda na hata nikiwa na hasira siwahi kusema kua nachukia, nasubiri hasira ziishe ndio nijue kama hisia bado zipo au zimeisha.
 
Thanx wakuu wote wa JF kwa ushauri mzuri mlionipa so nimebadili mawazo na nimeamua kumsamehe ila ntaonesha upendo kwake kama dada yangu ili ailee mimba yake vizuri.bila JF sijui.........

ubarikiwe kwa kua na hekima na utupia!
 
well noted gud lady ,wape somo ladies wenzako nao wamature km ww.
 
movie ya zamani ameeact Martin Lawrence: A thin line b/n love and hate
 
wanawake wenye heshima bado wapo mkuu,ni juhudi zako..usipende mambo mepesi.
 
Ubarikiwe sana kwa ushauri mzuri.
 
...Unalipiza kisasi kwa kukataliwa?:shock: unalipiza kisasi ili iweje? Wanawake wangapi uliowatongoza hadi sasa na wakakutaa? Je, ulilipiza kisasi kwa wote waliokukataa? Achana na mambo yasiyo ya kistaarabu ya kulipiza kisasi. We songa mbele na maisha yako
 
una akili nyingi sana wewe ndo mana umekuwa our rookie of the year!
 
Style yake ya kutoa maneno machafu ndo haikuwa nzuri..ila kukubaliwa na kukataliwa yote ni matokeo kwenye process nzima ya kutongoza. Accept that....Ila kisasi sikushauri!! Utajiumiza mwenyewe tu..
Ni kweli, msichana anaujauzito kwa nini unamhitaji kaka chana naye chapa lapa.
 
kisasi wakati wewe ndio ulimuanza!! Nenda tu kashindane na ulikotokea!
 

I know there is a thin line between those two things..
still is not what i asked. my question
was " why would you want
to talk crap or plan such a revenge to some one you love?...

anyway
huyu kijana hajasema anampenda huyo dada..
na nikasema tena ni bora kumuuliza kama kweli anampenda
kuliko ku assume tu vitu .
 
Unanikumbusha stori flani niliyo wahi simuliwaga kitambo kidogo na 1 friend of mine kuwa siku moja alikuwa kwenye siku za "muambo" akaja best yake mmoja kumuomba ushauri kuwa kuna sehemu angeenda kufanya uhalifu kwani alikuwa na uhakika akifanikiwa,hatakosa "M" kadhaa hivi. Bila kusita alimpa ushirikiano wa kutosha mpaka dakika ya mwisho rafiki yangu akaja kugundua huo uhalifu unaenda kufanyika nyumbani kwa mshua wake kwani tayari walishakuw eneo la tukio.
 
Crap, OMG!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ralphryder hio baa ya ngapi unoenda leo! Khaaaa....

Angel mpendwa wangu c kama mi ni mlevi kiviiile! Ila ugumu wa maisha unanifanya kunywa ili nipunguze mawazo! Hii naingia hata sikumbuki ni ya ngapi! Ila imeandikwa hapa mlangoni "simba kapakatwa"! Nisamehe bure! Nawahi bar!
 
Acha uvulana ww,naamini wanuame hawana sifa za aina hii,ungesikia mambo km haya yamemkuta dada yako ungemfanyaje huyo kivulana?kisasi sio kazi yangu mwachie mungu ashuhulike nalo.
 

Kapime akili yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…