Je, nimekosea kujibu hili swali kwenye usaili?

Je, nimekosea kujibu hili swali kwenye usaili?

marietha MD

New Member
Joined
Feb 23, 2025
Posts
1
Reaction score
0
Habari zenu jomoni!! Mimi nimesomea records management lakini nimeenda kufanya interview katika kazi ya sales na marketing. Mtu anatufanyia interview kaniuliza hivi! Je kwanini umekuja kuomba kazi ya sales na marketing wakati wewe umesomea records? Nilichomjibu ni hivi ; kwa sababu tulifundishwa pia sales na marketing hata tusipoajiliwa tuwe na uwezo wa kuanzisha biashara wenyewe na kuwa na ujuzi wa kuwasiliana na wateja.; JE nimekosea kujibu😳
 
Habari zenu jomoni!! Mimi nimesomea records management lakini nimeenda kufanya interview katika kazi ya sales na marketing. Mtu anatufanyia interview kaniuliza hivi! Je kwanini umekuja kuomba kazi ya sales na marketing wakati wewe umesomea records? Nilichomjibu ni hivi ; kwa sababu tulifundishwa pia sales na marketing hata tusipoajiliwa tuwe na uwezo wa kuanzisha biashara wenyewe na kuwa na ujuzi wa kuwasiliana na wateja.; JE nimekosea kujibu😳

Hujakosea sana, umejitahidi kwa nionavyo.

Naamini kuna swali la kuelezea elimu na uzoefu wako wa kazi ambapo hapo ndipo ungeelezea kwamba mbali na records management pia nimesoma kozi ya sales na marketing nk. Hata kwenye CV yako naamini kwamba umeweka hivyo.

Nafikiri lengo la swali hilo lilikuwa kujua ujuzi na uzoefu wako kwa mambo ya sales na marketing.

Mimi ningemjibu kwamba:

"mbali na kusomea records management pia nimesoma kozi ya sales na marketing kwa sababu ni eneo ambalo pia ninalipenda. Nina uzoefu wa kufanya shughuli za sales na marketing kwa muda wa miaka/miezi.....katika kampuni A, B/mbalimbali ambapo katika kampuni A niliweza kushirikiana na wenzangu kupandisha mauzo ya bidhaa za kampuni kufikia 60% toka 40% na pia kuongeza wateja 1,000 kwa kipindi cha miezi/miaka.... Kwa hiyo ninaamini nikipata nafasi hiyo katika kampuni yenu nitashiriki vizuri katika kuongeza mauzo na wateja "

Pia kama hauna uzoefu na kazi hiyo mfano ndiyo umemaliza chuo basi utaelezea tu kwa kina kidogo ujuzi na uelewa wako kuhusu sales na marketing na utatumia vipi huo ujuzi ulinao katika kuleta mabadiliko chanya kwenye biashara/kampuni yao.

Kwa hiyo umepatia kiasi, ilitakiwa tu uboreshe jibu zaidi ili liendane na biashara au kampuni yao yaani malengo yao, uhitaji wao nk.

Kila la kheri.
 
Na wewe ungemuuliza hivi,kama nawe unajua sijasomea hayo mambo ya sales kwa nini umeniita kwenye interview?
 
Jieleze vizuri
Uliulizwa kwa kiingereza na ukajitahidi kujibu kwa kiingereza lakini ukapata kigugumizi.....
 
Hujakosea sana, umejitahidi kwa nionavyo.

Naamini kuna swali la kuelezea elimu na uzoefu wako wa kazi ambapo hapo ndipo ungeelezea kwamba mbali na records management pia nimesoma kozi ya sales na marketing nk. Hata kwenye CV yako naamini kwamba umeweka hivyo.

Nafikiri lengo la swali hilo lilikuwa kujua ujuzi na uzoefu wako kwa mambo ya sales na marketing.

Mimi ningemjibu kwamba:

"mbali na kusomea records management pia nimesoma kozi ya sales na marketing kwa sababu ni eneo ambalo pia ninalipenda. Nina uzoefu wa kufanya shughuli za sales na marketing kwa muda wa miaka/miezi.....katika kampuni A, B/mbalimbali ambapo katika kampuni A niliweza kushirikiana na wenzangu kupandisha mauzo ya bidhaa za kampuni kufikia 60% toka 40% na pia kuongeza wateja 1,000 kwa kipindi cha miezi/miaka.... Kwa hiyo ninaamini nikipata nafasi hiyo katika kampuni yenu nitashiriki vizuri katika kuongeza mauzo na wateja "

Pia kama hauna uzoefu na kazi hiyo mfano ndiyo umemaliza chuo basi utaelezea tu kwa kina kidogo ujuzi na uelewa wako kuhusu sales na marketing na utatumia vipi huo ujuzi ulinao katika kuleta mabadiliko chanya kwenye biashara/kampuni yao.

Kwa hiyo umepatia kiasi, ilitakiwa tu uboreshe jibu zaidi ili liendane na biashara au kampuni yao yaani malengo yao, uhitaji wao nk.

Kila la kheri.
Na Mimi hapo ningejibu "kwa hiyo ninaamini nikipata nafasi hiyo katika kampuni yetu😳nitashiriki vizuri katika kuongeza mauzo na wateja"
 
kushirikiana na wenzangu kupandisha mauzo ya bidhaa za kampuni kufikia 60% toka 40% na pia kuongeza wateja 1,000 kwa kipindi cha miezi/miaka.... Kwa hiyo ninaamini nikipata nafasi hiyo katika kampuni yenu nitashiriki vizuri katika kuongeza mauzo na wateja
Kwa bongo hii sehemu huwa ni uongo.
 
Hujakosea sana, umejitahidi kwa nionavyo.

Naamini kuna swali la kuelezea elimu na uzoefu wako wa kazi ambapo hapo ndipo ungeelezea kwamba mbali na records management pia nimesoma kozi ya sales na marketing nk. Hata kwenye CV yako naamini kwamba umeweka hivyo.

Nafikiri lengo la swali hilo lilikuwa kujua ujuzi na uzoefu wako kwa mambo ya sales na marketing.

Mimi ningemjibu kwamba:

"mbali na kusomea records management pia nimesoma kozi ya sales na marketing kwa sababu ni eneo ambalo pia ninalipenda. Nina uzoefu wa kufanya shughuli za sales na marketing kwa muda wa miaka/miezi.....katika kampuni A, B/mbalimbali ambapo katika kampuni A niliweza kushirikiana na wenzangu kupandisha mauzo ya bidhaa za kampuni kufikia 60% toka 40% na pia kuongeza wateja 1,000 kwa kipindi cha miezi/miaka.... Kwa hiyo ninaamini nikipata nafasi hiyo katika kampuni yenu nitashiriki vizuri katika kuongeza mauzo na wateja "

Pia kama hauna uzoefu na kazi hiyo mfano ndiyo umemaliza chuo basi utaelezea tu kwa kina kidogo ujuzi na uelewa wako kuhusu sales na marketing na utatumia vipi huo ujuzi ulinao katika kuleta mabadiliko chanya kwenye biashara/kampuni yao.

Kwa hiyo umepatia kiasi, ilitakiwa tu uboreshe jibu zaidi ili liendane na biashara au kampuni yao yaani malengo yao, uhitaji wao nk.

Kila la kheri.
Hii reply imemaliza kila kitu.

Cc: Dr PL
 
Back
Top Bottom