Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Oct 22, 2020 #1 Nimesikitishwa na kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuniandika kwamba Mimi sio mtu mzima licha ya kwamba nimezaliwa mwaka 1958. Hebu angalia picha hi ya orodha ya wapiga Kura. Je hizi ni njama za kuninyima haki yangu ya kupiga Kura? Tume ya Taifa ya Uchaguzi isifanye mchezo na haki ya kupiga Kura.
Nimesikitishwa na kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuniandika kwamba Mimi sio mtu mzima licha ya kwamba nimezaliwa mwaka 1958. Hebu angalia picha hi ya orodha ya wapiga Kura. Je hizi ni njama za kuninyima haki yangu ya kupiga Kura? Tume ya Taifa ya Uchaguzi isifanye mchezo na haki ya kupiga Kura.