ChipisHela ya chips haizidi 5k mwambie aje
Yaan kwa kweli mtu unatumiaje X jmn , pia ningeachana nae muda huohuo aiseeeMatumizi ya X kwenye sentences tayari mood ingenikata..
We jamaa "fala" sana π π πWe fikiria umekaa zako unawaza Israel anavyotafuna vichogo vya maostaadh....
Mwanangu ww ni fala kinyama. Unataka ununue gono kwa buku 5? Dah ndio maana mnaugua kila siku.
Kwa hiyo niongeze dau auMwanangu ww ni fala kinyama. Unataka ununue gono kwa buku 5? Dah ndio maana mnaugua kila siku.
Dem unampa buku 5 hapo atoe naul, sabuni ya kufulia chupi, na yy mwenyewe ajiweke msafi kwel? hapo lazima ukutane a uvundo tu,
Kila la kheli mwamba