Je, nimwache aje au nipige chini?

vijana mna safari ndefu

Mwanangu ww ni fala kinyama. Unataka ununue gono kwa buku 5? Dah ndio maana mnaugua kila siku.
Dem unampa buku 5 hapo atoe naul, sabuni ya kufulia chupi, na yy mwenyewe ajiweke msafi kwel? hapo lazima ukutane a uvundo tu,
Kila la kheli mwamba
Kwa umri wake kwanza nimeshagaa kuwa eti anajua kubageni ,ndo mara ya kwanza leo namwita geto japo juzi nilimpa 5000 hata bila kuniomba leo namwita tuonane nashanga hizo sms nikaunganae ,yani kuku kwa mchele
 
Mimi demu mwenye njaaa njaaa napiga chini mapema sanaaa we fikiria umekaa zako unawaza Israel anavyotafuna vichogo vya maostaadh inaingia sms " baby sijala ntumie afu tatu nikanunue chips" hapo hapo namblock mwanamke hata afu tatu mpaka upewe shenzi
Uko kama mimi sheikh.. afu demu mwenyewe uandishi wake tu unaleta kichefuchefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…