Makwikwi
New Member
- Feb 20, 2018
- 2
- 2
Habari zenu wakuu.
"Mume wangu alifanyiwa upasuaji na kutolewa scrotum(Korodani) alikuwa akipata shida sana pindi anacheka utamuona anacheka mpaka machozi kumbe ndo kilio kinafwatia baada ya kicheko.
Madaktari walimfanyia upasuaji kwa kusema kwamba ingeweza kumsababishia kansa ya uzazi na sasa ana pumbu moja lakini mambo mengine yanaenda kama kawaida anasimamisha na kufanya tendo la ndoa bila tabu but uti wa mgongo unamsumbua sana tatizo hilo lilitokea tangu tupo wachumba na sasa tuna miaka mitatu hatujawahi kupata mtoto kabisa wala sijawahi kushika mimba.
Pia bao zake la kwanza ni nzito sana na nyingine anasema zinatoka kama hewa au shahawa kwa mbali sana je hataweza kupata mtoto kabisa kwasababu ya kuwa na pumbu moja naombeni mnisaidie jamani tunahangaika sana kupata mtoto kuna uwezekano wa wanaume wa aina hii kuwa na uwezo wa kumpa mwanamke mimba naomba mtusaidie jamani tunatanguliza shukrani za dhati.
"Mume wangu alifanyiwa upasuaji na kutolewa scrotum(Korodani) alikuwa akipata shida sana pindi anacheka utamuona anacheka mpaka machozi kumbe ndo kilio kinafwatia baada ya kicheko.
Madaktari walimfanyia upasuaji kwa kusema kwamba ingeweza kumsababishia kansa ya uzazi na sasa ana pumbu moja lakini mambo mengine yanaenda kama kawaida anasimamisha na kufanya tendo la ndoa bila tabu but uti wa mgongo unamsumbua sana tatizo hilo lilitokea tangu tupo wachumba na sasa tuna miaka mitatu hatujawahi kupata mtoto kabisa wala sijawahi kushika mimba.
Pia bao zake la kwanza ni nzito sana na nyingine anasema zinatoka kama hewa au shahawa kwa mbali sana je hataweza kupata mtoto kabisa kwasababu ya kuwa na pumbu moja naombeni mnisaidie jamani tunahangaika sana kupata mtoto kuna uwezekano wa wanaume wa aina hii kuwa na uwezo wa kumpa mwanamke mimba naomba mtusaidie jamani tunatanguliza shukrani za dhati.