justine sheddy
Member
- May 24, 2013
- 10
- 0
Ndio yaani hapo bila shaka kama vipi jipange mapema
Habari zenu wadau mm ni mhitimuform 4 mwaka jana nikapata alama zifuatazo je nawezachaguliwa nkasome combi ya CBG
Biolog-C. Chem-D geog-C english-B histor-C. Physcs-D. Civics-D Kiswa-D. Math-F.
Naombeni mnisaidie
Hongera hapa CBG au HKL naona zitakuhusu kuwa na moyo wa kusubiri lolote linaweza kutoke na malengo yako kutimia kwa wakati maaana kila kitu kinawezakana.
Ndio haiwezi athiri kwa sababu comb ime balance kwa point 10
Nashuru sana kwa kunitia nguvu ushauri wako ndo furaha yangu na matumaini yangu
Habari zenu wadau mm ni mhitimuform 4 mwaka jana nikapata alama zifuatazo je nawezachaguliwa nkasome combi ya CBG
Biolog-C. Chem-D geog-C english-B histor-C. Physcs-D. Civics-D Kiswa-D. Math-F.
Naombeni mnisaidie
Hapo lazima upate boy mm pia ni mwenzako nimepata bios-C Geog-C chem-C Xema math nlkula F, ila baada ya kupata ushaur humu Jf, nw xina wasiwasi nasubiria school selection 2, kama vip we anza kupiga tuit kabisa.
Hapo lazima upate boy mm pia ni mwenzako nimepata bios-C Geog-C chem-C Xema math nlkula F, ila baada ya kupata ushaur humu Jf, nw xina wasiwasi nasubiria school selection 2, kama vip we anza kupiga tuit kabisa.
Mkuu mbona unaharibu kiswahili chetu?
dogo hapo jiandae na h kunani aisee una f ya BAM af umefaulu masomo ya arts vzur...anza kusoma history mapema....f hyo watakubania cbg kaka
Hgl inakuhusu dogo