mtotowatatu
Senior Member
- Jul 31, 2016
- 103
- 58
Wasalaamu wakuu?. Kuna swali linanitatiza kidogo ..najiuliza kwamba mimi ni mwanachama wa CWT (CHAMA CHA WALIMU TANZANIA) na hvyo ninakatwa 2% ya mshahara wangu kila mwezi kwa ajili yao. Tatizo ni kwamba hawatimizi wajibu wao kwangu kama., kupigania maslah yangu kama mwl, kulinda hadhi yangu kama mwl na kushindwa hata kupigania mazingira bora nikiwa kazini kwangu,, naomba msaada kwa wanasheria kuna altenative ya kukishitaki chama hiki kwa kutotimiza wajibu wake kwangu?, nawasilisha
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app