mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 1,053
- 1,199
Ndugu zangu wapendwa husika na mada tajwa hapo juu. jana nimeibiwa spika ya soundba yangu. sasa najiuliza je dukani naweza nikaipata hii spika au ndo hivyo tena ?imepotea mpaka ninunue soundba mpya ndio ninaweza kuipata spika kama