nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Katika familia yetu tupo Wanaume wa Nne na Mwanamke Mmoja, kabla Baba hajafariki aligawa mali alizokuwa nazo, (lakini hapa nazungumzia nyumba tuliokuwa tunaishi) sisi wengine tulikuwa bado wadogo.
Baada ya Baba kufariki (2001) tumegundua Marehemu Baba aliandika jina la Mjukuu (jinsia ya kike, ambaye ni mtoto wa Dada yetu naye amefariki) kwenye Hati ya Nyumba, hapo ndipo swali langu linapokuja.
Je, Sisi watoto tunayohaki kisheria ya kudai majina yetu yawepo kwenye Hati ya Nyumba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Baba kufariki (2001) tumegundua Marehemu Baba aliandika jina la Mjukuu (jinsia ya kike, ambaye ni mtoto wa Dada yetu naye amefariki) kwenye Hati ya Nyumba, hapo ndipo swali langu linapokuja.
Je, Sisi watoto tunayohaki kisheria ya kudai majina yetu yawepo kwenye Hati ya Nyumba?
Sent using Jamii Forums mobile app