Je, nini hasa faida ya long distance katika mahusiano ya kimapenzi?

Je, nini hasa faida ya long distance katika mahusiano ya kimapenzi?

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Umuofia kwenu ndugu zangu JF,

Mara kadha wa kadha kumekua na malalamiko kwa watu mbalimbali kuhusiana na long distance relationship, ambapo watu wengi wenye mahusiano kama haya wamekua wakilalamika, kuhangaika na hata kupoteza matumaini, na kwakweli wamekosa kuaminiana na kupelekea kulegalega mawasiliano na hatimae kuvunjika kwa mahusiano yao hasa pale ambapo mawasiliano ni magumu na gharama za mawasiliano zinakua changamoto kuzikabili.

Je,
hivi kuna faida yoyote ya kua katika mahusiano ya long distance ? Na je una ushauri gani kwa watu walio katika aina hiyo ya mahusiano. kwa mfano mwenzio yuko masomoni au kazini mbali na upeo wa macho yako n.k, ili mahusiano yao yaendelee kushamiri na kudumu?

tafadhali sana,
 
Umuofia kwenu ndugu zangu JF,

Mara kadha wa kadha kumekua na malalamiko kwa watu mbalimbali kuhusiana na long distance relationship, ambapo watu wengi wenye mahusiano kama haya wamekua wakilalamika, kuhangaika na hata kupoteza matumaini, na kwakweli wamekosa kuaminiana na kupelekea kulegalega mawasiliano na hatimae kuvunjika kwa mahusiano yao hasa pale ambapo mawasiliano ni magumu na gharama za mawasiliano zinakua changamoto kuzikabili.

Je,
hivi kuna faida yoyote ya kua katika mahusiano ya long distance ? Na je una ushauri gani kwa watu walio katika aina hiyo ya mahusiano. kwa mfano mwenzio yuko masomoni au kazini mbali na upeo wa macho yako n.k, ili mahusiano yao yaendelee kushamiri na kudumu?

tafadhali sana,
actually long distance relationship zipo na kwakweli haziepukiki kulingana na maisha, masomo au kazi kama ulivyo bainisha kwenye hoja yako..

sasa hivi mathalani kuna long distance relationships tena ya wana ndoa kabisa. Mume yupo Dar Mke yupo songea, Rukwa au Dodoma na watoto..

si hivyo tu,
umestaafu, upo kijijini unataka kwenda kuishi mjini mke hataki kuhamia huko and vise versa is true...

inahitaji Neema na Baraka za Mungu akujaalie umakini, hekima, busara na ustahimilivu wa kipekee mno kudumu, japo inawezekana kabisa 🐒
 
Umuofia kwenu ndugu zangu JF,

Mara kadha wa kadha kumekua na malalamiko kwa watu mbalimbali kuhusiana na long distance relationship, ambapo watu wengi wenye mahusiano kama haya wamekua wakilalamika, kuhangaika na hata kupoteza matumaini, na kwakweli wamekosa kuaminiana na kupelekea kulegalega mawasiliano na hatimae kuvunjika kwa mahusiano yao hasa pale ambapo mawasiliano ni magumu na gharama za mawasiliano zinakua changamoto kuzikabili.

Je,
hivi kuna faida yoyote ya kua katika mahusiano ya long distance ? Na je una ushauri gani kwa watu walio katika aina hiyo ya mahusiano. kwa mfano mwenzio yuko masomoni au kazini mbali na upeo wa macho yako n.k, ili mahusiano yao yaendelee kushamiri na kudumu?

tafadhali sana,
Nyie mtakuwa mna date house girls, hapo kwakweli haiwezi ikadumu.
 
actually long distance relationship zipo na kwakweli haziepukiki kulingana na maisha, masomo au kazi kama ulivyo bainisha kwenye hoja yako..

sasa hivi mathalani kuna long distance relationships tena ya wana ndoa kabisa. Mume yupo Dar Mke yupo songea, Rukwa au Dodoma na watoto..

si hivyo tu,
umestaafu, upo kijijini unataka kwenda kuishi mjini mke hataki kuhamia huko and vise versa is true...

inahitaji Neema na Baraka za Mungu akujaalie umakini, hekima, busara na ustahimilivu wa kipekee mno kudumu, japo inawezekana kabisa 🐒
Kweli kabisa.
Kuna watu wanaishi nyumba moja lakini vyiumba tofauti, hao siyo tu ni short distance bali ni under the same roof.
Wanaoachana wengi ni wale waishio under the same roof kuliko wale wa long distance.
Iwe long or under the same roof, kuachana au kudumu itategemeana na wahusika wenyewe, siyo umbali wala ukaribu
 
Kweli kabisa.
Kuna watu wanaishi nyumba moja lakini vyiumba tofauti, hao siyo tu ni short distance bali ni under the same roof.
Wanaoachana wengi ni wale waishio under the same roof kuliko wale wa ling distance.
Iwe ling or under the same roof, kuacuana au kudumu itategemeana na wahusika wenyewe, siyo umbali wala ukaribu
🤣umenifurahisha mkurugenzi 👊👊💪
 
Back
Top Bottom