Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kuna kipindi tunafanya makosa kwa watu wengine, na wakati mwingine inatokea tunajifanyia makosa sisi wenyewe.
inapotokea umejifanyia makosa wewe mwenyewe, unafanyeje kurekeisha makosa hayo na kujisamehe kabisa
inapotokea umejifanyia makosa wewe mwenyewe, unafanyeje kurekeisha makosa hayo na kujisamehe kabisa