Je, nini kinasababisha matiti kulegea kabla ya kuzaa?

Je, nini kinasababisha matiti kulegea kabla ya kuzaa?

Suala la Matiti linategemea vitu vitatu zaidi.

1/Maumbile ya Mtu(Jinsi alivyoumbwa au Asili yake)

2/Umri (Kadri umri wa binti unavyosogea mbele, ndivyo matiti hukua na kulegea)

3/Uzazi (Kupata mimba na kuzaa hupelekea matiti kuwa makubwa na kumwagika chini)
 
Chakula na mazoezi.
Huwezi kutegemea kuwa na kifua Standard huku Hufanyi mazoezi pa kutembea dada anapanda bodaboda.
Huwezi kuwa na kifua standard kwa kutegemea kula soseji,chips kuku wa kisasa, maumbile lazima yakengeuke.
ndio maana leo ni kawaida kukuta dada bikra lakini maziwa yako parallel na mwili wake.
kwa hiyo sio kila mwenye maziwa yaliyolala leo ni MUHUNI
 
Chakula na mazoezi.
Huwezi kutegemea kuwa na kifua Standard huku Hufanyi mazoezi pa kutembea dada anapanda bodaboda.
Huwezi kuwa na kifua standard kwa kutegemea kula soseji,chips kuku wa kisasa, maumbile lazima yakengeuke.
ndio maana leo ni kawaida kukuta dada bikra lakini maziwa yako parallel na mwili wake.
Umemaliza mkuu, kikubwa wengi hawajui wanaharibu miili yao kwa kutopata lishe nzuri.
 
Back
Top Bottom