Baraka sheni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 471
- 197
Huko mjini ndiko wanaongoza kulegea matiti sijui nako wanalima lami? [emoji6] [emoji6]Asili,
Pia kazi nzito kama kulima nk.
Umemaliza mkuu, kikubwa wengi hawajui wanaharibu miili yao kwa kutopata lishe nzuri.Chakula na mazoezi.
Huwezi kutegemea kuwa na kifua Standard huku Hufanyi mazoezi pa kutembea dada anapanda bodaboda.
Huwezi kuwa na kifua standard kwa kutegemea kula soseji,chips kuku wa kisasa, maumbile lazima yakengeuke.
ndio maana leo ni kawaida kukuta dada bikra lakini maziwa yako parallel na mwili wake.
Mmmmh cute b , wa mjini nao kazi nzito kama zipiAsili,
Pia kazi nzito kama kulima nk.
utakuwa umesomea sayansi wewegravitational force inasababisha matiti yaelekee chini
bila gravitational force hata dushe lingekuwa linasimama tu