Nimekuuliza swali wewe.. ukipata hilo jibu utafanya decision. Ila kwangu mimi nisingeweza kuolewa na A, kwani tayari namuhesabu ni ndugu yangu, mahusiano yetu yatabaki ya kaka na dada PERIOD.Ndo maana nimekuja kwa ushauri maana sina jibu. Wewe ungekubali? Kwa nini?
Mmh kwangu mimi ni no! Kimaadili haiko poa..
mama, nimekosoma vizuri sana. Najua una moja kati ya haya mawili mukichwa chako, ama umekwisha jiwekea msimamo wa kuolewa naye hapa unataka justification ama unatakakujua jambo kwa usahihi.
Naomba nikijibu kwa kukupa mfano mfano/ushauri huu, nenda kaolewe na mtoto wa baba yako mkubwa. Sababu za kukushauri hivyo ni kuwa huyo hamjashea naye baba wala mama. Sounds good?
Ilitokea siku za nyuma bibi yangu (mdogo wa bibi) aliolewa sehemu huko kijijini, akakuta yule baba (babu) ana watoto wakubwa (sisi hatukuwahi kuwafahamu hao vijana), katika pita pita za mjini nikachumbiwa na kijana mmoja, kupeleka maelezo nyumbani wakataka kujua anatoka familia gani.. kuchunguza sana ikagundulika yule bibi yangu mdogo alishawahi kuolewa na baba wa yule kijana (bibi aliachika kitambo na hakuwahi kuzaa kwenye hiyo familia).. Ilibidi uchumba uvunjwe! maana familia ilikuja juu kuwa haiwezekani ukaolewa na mtoto wa bibi yako! upo hapo..je ukisikia kijana anetaka kukuoa baba yake na mama yako waliwahi kuwa
bofriend na girlfriend shuleni kabla hamjazaliwa?????
au waliwahi kuoana na kuachana kabla ya hamjazaliwa??????
ndo maana mwisho unauliza viongozi wa dini,wakisema sawa ni sawa tu....
Ilitokea siku za nyuma bibi yangu (mdogo wa bibi) aliolewa sehemu huko kijijini, akakuta yule baba (babu) ana watoto wakubwa (sisi hatukuwahi kuwafahamu hao vijana), katika pita pita za mjini nikachumbiwa na kijana mmoja, kupeleka maelezo nyumbani wakataka kujua anatoka familia gani.. kuchunguza sana ikagundulika yule bibi yangu mdogo alishawahi kuolewa na baba wa yule kijana (bibi aliachika kitambo na hakuwahi kuzaa kwenye hiyo familia).. Ilibidi uchumba uvunjwe! maana familia ilikuja juu kuwa haiwezekani ukaolewa na mtoto wa bibi yako! upo hapo..
Ilitokea siku za nyuma bibi yangu (mdogo wa bibi) aliolewa sehemu huko kijijini, akakuta yule baba (babu) ana watoto wakubwa (sisi hatukuwahi kuwafahamu hao vijana), katika pita pita za mjini nikachumbiwa na kijana mmoja, kupeleka maelezo nyumbani wakataka kujua anatoka familia gani.. kuchunguza sana ikagundulika yule bibi yangu mdogo alishawahi kuolewa na baba wa yule kijana (bibi aliachika kitambo na hakuwahi kuzaa kwenye hiyo familia).. Ilibidi uchumba uvunjwe! maana familia ilikuja juu kuwa haiwezekani ukaolewa na mtoto wa bibi yako! upo hapo..
Mie naona unataka kuhalalisha jambo ambalo hata nafsi yako inakuambia si sahihi. kifupi ninyi ni ndugu na sitegemei (kaka na dada) kuoana. ila naona wewe mwenyewe unataka sisi tukuhalalishie jambo ambalo si sahihi. Nakushauri ufuate lile ambalo roho yako inataka ila maono yangu ni kuwa usiolewe na huyo kaka yako. Kama dada yako C hawezi kuolewa na huyo jamaa ni wazi kuwa hata wewe hupaswi kuolewa nae, huo ndio ukweli wa mambo, lakini kama ukilazimisha basi olewa nae tu na mchango wa harusi ntakuchangia kwani waswahili husema "UKITAKA KULA HARAM CHAGUA ILIYONONA"
Kazi ni kwako
wish you all te best in the year 2012
Ndio maadili ya kikwetu yalivyo.. Ila makabila mengine huwa hawana hizo.. hata binam kwa binam wanaoanahao ndugu zako ni wajima kupita maelezo
wanahitaji maombi ya kweli......
too primitive kwa dunia ya sasa....
Mmh kwangu mimi ni no! Kimaadili haiko poa..
Wakuu wa Jukwaa,
Heri ya Mwaka Mpya 2012.
Kuna Mwanaume ambaye ametokea kunipenda sana, nami nampenda sana ingawa hatujafikia hatua ya mahusiano ya kimwili. Napenda kumwita A.
Kinachonitatiza ni kuwa enzi za ujana wao, Baba yake A (Namwita B) na Mama yangu walizaa binti ambaye tumpe jina C. Sasa mimi na C tunashare Mama lakini Baba zetu tofauti. C ni dada yangu, yeye ni mkubwa mimi ni mdogo. Wazazi wangu wote walifariki. A na C hawajawahi kufahahamiana hadi walipokutana hivi karibuni na kutambulishwa na baba yake yaani B katika harusi ya Binti mwingine wa baba yake A (yaani baba B) ambaye alizaa na Mwanamke mwingine tena.
Kwa upande wa A, yaani Mwanaume tunayependana amelelewa na familia nyingine toka utotoni ambayo mama yake Mzazi na A aliolewa na Baba mwingine. A ana ndugu zake huko waliolelewa pamoja. Hii ndiyo familia yake ya sasa.
Sasa swali langu kwenu wana MMU, je mimi naweza kuolewa na Mwanaume huyu yaani A?
Naomba kuwakilisha.
Usiolewe kuna laana mnataka kutengeneza.
Du! Ipo kazi. Inanikumbusha habari za Bible. Kaini (muuaji wa Abeli) , Adam na Hawa. Hivi Kaini alizaa na nani na Mwanamke alikuwa ni Hawa tu mama yake?
Halafu mtoto mtakae mzaa wewe na huyo kaka huyo mdogo wako atamuitaje huyo mwanao? Tafakari Chukua hatua