Je, nitafanya nini endapo moja ya masomo niliyochagua halifundishwi kwenye chuo nilichochaguliwa?

Je, nitafanya nini endapo moja ya masomo niliyochagua halifundishwi kwenye chuo nilichochaguliwa?

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Nimechaguliwa kwenda kusoma shahada ya ualimu, sasa je endapo nkikuta somo moja wapo ya yale niliyochagua mim halifundish hapo chuoni nitafanya nini?
 
Inawezekanaje uchaguliwe na chuo husika na usilikute ilo somo? Kwani umechaguliwa masomo gani na chuo kipi?
 
Inawezekanaje uchaguliwe na chuo husika na usilikute ilo somo? Kwani umechaguliwa masomo gani na chuo kipi?
Mkuu nmechaguliwa kusoma bachelor of science with education!! masomo nliyopanga kuyasoma ni Chemistry na Mathematics,sasa je ntafanya nin endapo ntakuta somo la Chemistry halifundshwi hapo chuon???
 
Huu uandishi wako umenisikitisha sana.
Xaxa ww ulitk aandik vp? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Mwache ticha bana. Ana wasiwasi atakuta Kemia haifundishwi katika chuo alichochaguliwa halafu hata jina la chuo hataki kulitaja akapatiwa habari za uhakika. Ajabu sana !
 
Xaxa ww ulitk aandik vp? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Mwache ticha bana. Ana wasiwasi atakuta Kemia haifundishwi katika chuo alichochaguliwa halafu hata jina la chuo hataki kulitaja akapatiwa habari za uhakika. Ajabu sana !
Nimejisikia aibu kabisa kwa thread hii. Huyu mwamba ndo anasababisa waalimu tunaonekana watu wa hovyo kabisa.

Sasa kama kuuliza swali na kueleweka inakuwa changamoto, anawezaje kujenga hoja kumuelewesha mwanafunzi? Achilia mbali kujenga hoja kutetea usahihi wa jibu
 
Mkuu nmechaguliwa kusoma bachelor of science with education!! masomo nliyopanga kuyasoma ni Chemistry na Mathematics,sasa je ntafanya nin endapo ntakuta somo la Chemistry halifundshwi hapo chuon???
Unaenda Chuo gani!?? Ili wajuzi na wakongwe toka chuo utakachotaja wakupe Muongozo Kama hizo teaching subjects zipo!!


Kama ni UDSM na campuses zake zote hiyo combo ipo mkuu!!
 
Huo utaratibu labda umeanza hv karibuni 2015 kurudi nyuma walikuwa wanapanga wenyewe then unapewa nafasi ya kubadili Kama ukitaka!!
Mimi nilidahiliwa 2017 main Campus, na nilikuta mfumo huu wa kuchagua masomo. Na walio mbele yetu walikuwa wamepewa pia nafasi ya kuchagua.

Tofauti ipo kwa wale wa BED ambao wote walihamishiwa na kutengwa kule SoED huwa wanasoma somo moja tu na mengine yote ya department, i.e BED ACE, BED PESS, BED Psychology etc.

Ila wale wote wa CoHu na CoSS pamoja na Bsc with Ed wanapewa nafasi ya kuchagua
 
Mimi nilidahiliwa 2017 main Campus, na nilikuta mfumo huu wa kuchagua masomo. Na walio mbele yetu walikuwa wamepewa pia nafasi ya kuchagua.

Tofauti ipo kwa wale wa BED ambao wote walihamishiwa na kutengwa kule SoED huwa wanasoma somo moja tu na mengine yote ya department, i.e BED ACE, BED PESS, BED Psychology etc.

Ila wale wote wa CoHu na CoSS pamoja na Bsc with Ed wanapewa nafasi ya kuchagua
Shukrani Sana mkuu kwa ufafanuzi mujarabu Kama sio mukitiribu, Hakika Mwanafunzi akishindwa kukuelewa wewe sijui kama ataweza kuelewa tena!!!


Mambo yanabaridika 2013 sie tulikuta wamepanga Kwa wote tuliokuwa CoNAS nilikuta nimepewa BL na GE nikabadili ikawa BL na CH!!!
 
Shukrani Sana mkuu kwa ufafanuzi mujarabu Kama sio mukitiribu, Hakika Mwanafunzi akishindwa kukuelewa wewe sijui kama ataweza kuelewa tena!!!


Mambo yanabaridika 2013 sie tulikuta wamepanga Kwa wote tuliokuwa CoNAS nilikuta nimepewa BL na GE nikabadili ikawa BL na CH!!!
Siku hizi hali ni tofauti mzee. Hata MUCE ambapo huu utaratibu ulichelewa, mwaka jana walianza pia.

Ni kama ile ya kuhama kozi... zamani ilikuwa mlolongo mrefu, barua kama zote.
Ila saiv.. unabofya tu mwenyewe ARIS, unaangalia Cutpoints kama uko elligible, ikikubali.. hapohapo inabadilika. Kesho yake unaenda College uliyohamia wanakupa utambulisho.. unaenda Smartcard unapewa ID mpya.
Yaan simple
 
Back
Top Bottom