Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]labda uite marinda company,ila mashoga wataipenda sana
Lakini mimi situmii Jina MIRINDA kama TradeMark bali ni jina la kampuni, kuna kosa hapo kumbuka hakuna kampuni inayoitwa hivyo ?Hata tradermark pia zinasajiliwa ndugu. Hio utakuta ishazuiliwa
Kama ni mfwatiliaji fuatilia kesi/ugomvi kati ya Bakhresa(SSB company) wenye brand ya Azam na Mikoani Taders wanaotumia Azania. Iliyokua inarindima Burundi au Rwanda kama sikosei. Ambapo Bakhresa alimuwahi Azania akasajili Azania kama tradename yake halafu kaiweka kapuni haitumii ili Azania akitaka kupenya soko la huko aje na jina jipya
Ndio labda ubadili badala ya mirinda kasajili marinda!!
Haiwezekani. Kwa kifupi tu trademark,tradename na company name zinatumika na mtu mmoja tu.Lakini mimi situmii Jina MIRINDA kama TradeMark bali ni jina la kampuni, kuna kosa hapo kumbuka hakuna kampuni inayoitwa hivyo ?
Na Je, kuna tofauti katika usajili wa LOGO na TRADENAME ?