Je nitakuwa nakosea nikisema bodi ya ligi walitumia kanuni hii 1:3 kughairisha mechi ni ikiwa teyari simba walishatuma barua ya malamiko

Je nitakuwa nakosea nikisema bodi ya ligi walitumia kanuni hii 1:3 kughairisha mechi ni ikiwa teyari simba walishatuma barua ya malamiko

achuuuu

Member
Joined
Jul 29, 2024
Posts
56
Reaction score
64
1741541848422.jpg
je tut
 
Ndio wangeorodhesha hizo sababu za msingi na dharura zilizosababisha kuhairisha mechi watu wajue kama kwenye lile tukio kuna mchezaji wa Simba alijeruhiwa au kufa au kuna kiongozi yupi wa Simba kafa au kujeruhiwa.

Ila kwa walichokiandika wao Bado haiwezi kuipa uhalali bodi ya ligi kuhairisha mechi

1) swala la usalama limetokana na nini?
Wao wenyewe bodi ya ligi wamekiri juu kuwa Simba hawakufanya mawasiliano yeyote na maofisa wa mechi, mamlaka ya uwanja na timu mwenyeji ili waweze kuwafanyia maandalizi ya kikanuni. Hapa ni wao wenyewe Simba wamehatarisha usalama wao.

2) Kuna matukio linalopaswa kuhairisha mchezo endapo kuna kiongozi au mchezaji katika tukio hilo kajeruhiwa au kafariki lakini kuishia kusema kwamba mechi inahairishwa kwasababu tu ya uchunguzi ni kushindwa kufuata vigezo vya uhairishaji wa mechi iliyopo katika kanuni.
 
Back
Top Bottom